MSEZA MKULU
JF-Expert Member
- Jul 22, 2011
- 3,752
- 5,497
Anawapiga pichaMbona hakuna Dereva kwenye hiyo bajaji
Anawapiga picha
Anawapiga picha
sio mapombe wamelewa zikiisha kichwani wataacha maana hata makonda wanakuwaga na hyo tabia mwishowe unapata ajali unakufa unabakiza ninge ningekuwa hata kiwete hahaha a just kiddingMradi wana furaha na Amani moyoni, mengine ni majaliwa.