FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,881
- 109,190
- Thread starter
- #41
Wewe wacha porojo, vuta picha ya magovi mia mbili kwa mfalme. Mfalme, hesabu hizooo!FaizaFoxy yaani wewe ni mdini kiasi kwamba unavuka mipaka
emu punguza hzo mambo zako mama dooh! unazidi sasa
Bible imetumia lugha ya picha kwa kiasi kikubwa, bnafsi me mwenyewe naweza soma nikatoka kapa bila kuelewa,sasa wewe unaforce kuielewa utakavyo.
kuna uhuru wa kuzungumza utakacho lakini si kwa mtindo wa kukashfu dini ya wenzako kwa kigezo cha kijinga eti uko jukwaa la jokes
punguza mama,unakeraaaa mno
Wacha kuwa serious wakati wote, furahi na biblia.