Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,005
- 112,657
Mahari ni ujinga na upumbavu tu. Hazina maana yoyote ile zaidi ya kum-objectify mwanamke.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi ningekuwa na uwezo ningeabolish hii kitu inaitwa mahari! ndugu zetu Waislam walijua kuna watu watatia ufisadi ndo maana wakasema mahari inatamkwa na mwolewaji tu!
...kwa taarifa yenu, heri hao wanaotaka mahari kubwa kubwa, mkishaoana hawawaletei za kuleta. Waogopeni wanaojifanya aarrgghh, "...mahari chochote tu baba, tushakuwa ndugu!"
Utajikuta maisha yako yote unaendelea kutoa 'mahari' -indirectly,...jukumu la kuwasomesha wadogo zake mke, na kuwatimizia haja ndogo ndogo hadi zile kubwa kubwa pamoja na wakwe ndio jukumu la kila siku...
Hivyo mahari ndio inamfanya binti anyanyasike kwa mumewe? Mie nadhani sio mahari, kama ingekuwa mahari ndoa nyingi tu zingekuwa na misuko suko. Asilimia kubwa ya Wanawake wananyanyasika kwa mahari ni wale ambao ni tegemezi kwa mwanaume.
Kama mwanaume una pesa, hata ukipangiwa mahari kubwa mie naona hakuna ubaya, tatizo lipo mtu mwenye kima cha chini kupangiwa mahari kubwa.
Na hawa wazazi/walezi wanaopanga hizi mahari huwa wanafahamu uwezo wa huyo bwana. Kama una dau kubwa na mahari nayo kubwa.
Hivyo mahari ndio inamfanya binti anyanyasike kwa mumewe? Mie nadhani sio mahari, kama ingekuwa mahari ndoa nyingi tu zingekuwa na misuko suko. Asilimia kubwa ya Wanawake wananyanyasika kwa mahari ni wale ambao ni tegemezi kwa mwanaume.
Kama mwanaume una pesa, hata ukipangiwa mahari kubwa mie naona hakuna ubaya, tatizo lipo mtu mwenye kima cha chini kupangiwa mahari kubwa.
Na hawa wazazi/walezi wanaopanga hizi mahari huwa wanafahamu uwezo wa huyo bwana. Kama una dau kubwa na mahari nayo kubwa.
Pretty, nakubaliana na wewe. Kinachofanya mwanamke anyanyaswe kwa mumewe si mahari, ni tabia mbaya tu ya mume au ndugu wa mume wake. Mwanamke hata kama ataolewa bila mahari kama mume wake ana tabia mbaya atamnyanyasa tu: kwa maneno mabovu na vibao juu, na hata kumwambia "una nini cha pekee wewe, ndiyo maana hata sikutoa kitu kwa wazazi wako".Hivyo mahari ndio inamfanya binti anyanyasike kwa mumewe? Mie nadhani sio mahari, kama ingekuwa mahari ndoa nyingi tu zingekuwa na misuko suko. Asilimia kubwa ya Wanawake wananyanyasika kwa mahari ni wale ambao ni tegemezi kwa mwanaume.
Kama mwanaume una pesa, hata ukipangiwa mahari kubwa mie naona hakuna ubaya, tatizo lipo mtu mwenye kima cha chini kupangiwa mahari kubwa.
Na hawa wazazi/walezi wanaopanga hizi mahari huwa wanafahamu uwezo wa huyo bwana. Kama una dau kubwa na mahari nayo kubwa.
nimekusoma kiongozi, bt utatumia vigezo gani kukadiria mahari ya binti yako?.huoni ni kama unapanga bei ya bidhaa?
pamoja!!