Kivp? Kwasbb sugu amesema kapigiwa simu. Una uhakika gani kama kweli kapigiwa.Dhahiri imeonekana sasa kuwa kumbe biashara ya uhamisho wa wanasiasa inasimamiwa na Katibu Mkuu mwenyewe kwa baraka za Raisi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kivp? Kwasbb sugu amesema kapigiwa simu. Una uhakika gani kama kweli kapigiwa.Dhahiri imeonekana sasa kuwa kumbe biashara ya uhamisho wa wanasiasa inasimamiwa na Katibu Mkuu mwenyewe kwa baraka za Raisi.
Wizi ni sayansi...bwashee pumzika tu...huwezi kulazimisha kupendwa bwasheeMbeya mjini na Iringa mjini wapiga kura wao wanajitambua ila mwaka huu maandalizi ya CCM yamekuwa ya kisayansi zaidi.
Ngoja October ifike tuwe mashuhuda!
Jibu la swali hili ni leo, tunasubiri kwa hamu...Wanabodi,
Namalizia kwa lile swali la msingi la uzi huu, Kauli ya "Maharage ya Mbeya Maji Mara Moja" Ina Ukweli?, Ni Kwenye Maharage tu au Hadi kwa Wanambeya?:
Je, October 28, 2020 Wana Mbeya WaTatulia, au kwa sababu wameisha zoea shida hadi wameota Sugu hivyo badala ya KuTulia, wao wataendelea za Sugu zao walizozoea?
Kauli Huumba!, Jibu la kama WanaMbeya ni kama Maharage ya Mbeya ya maji mara moja au au hapana ni October 28, 2020!.
Mbeya Oye!.
Paskal
Jibu lilipatikana, ni kweli kabisa, maharage ya Mbeya, maji mara moja!.Jibu la swali hili ni leo, tunasubiri kwa hamu...
P