Maharage Chande wa TANESCO ameingiaje utumishi wa umma akiwa na umri zaidi ya miaka 45?

Maharage Chande, Mkurugenzi Mtendaji mpya wa TANESCO ana umri zaidi ya miaka 45. Ameingiaje kwenye utumishi wa Umma ?

Au ni urafiki wake na Waziri wa Nishati January Makamba (cronyism) ndio umempa upendeleo huu ? Makamba ndio amepeleka jina kwa Rais. Rais hamjui Maharage.

Matokeo ya cronyism ndio haya: Chande hana background au experience ya utumishi wa umma, wala kazi za shirika la nishati wala shirika la fani yeyote lenye ukubwa na ugumu wa uendeshaji kama TANESCO. Ametokea DSTV na kabla ya hapo Vodacom.

Kituko cha kwanza cha Chande alikitoa kwenye hotuba yake ya utambulisho mbele ya hadhara, waandishi, wateule wenzie wapya pamoja na Waziri.

Akasema anataka PAY-FOR-PERFOMANCE, mfumo wa ulipaji kulingana na ufanisi kiutendaji. Toka lini kwenye public sector mtu analipwa tofauti na salary scale yake ??? Huyu jamaa hana clue na mifumo ya ujira za utumishi wa umma. Speech yake ya kwanza anatueleza ndoto za Alinacha za jinsi watakavyolipana badala ya matatizo ya upatikanaji umeme wa uhakika.

Tunaomba January Makamba ujali na uwe serious na kazi yako. Tunajua huna sana uchungu na wananchi na kuhuwahi kusota kupata kazi hizi kwa vile ulibebwa na majina ya baba zako Yusufu (nepotism) na Jakaya (cronyism), na siku zote vyeo vimekuwa vikikujia, kuondoka na kurudi kirahisi rahisi. Jisafishe, tunaomba uanze kujali.
Serikalini kumejaa madudu Mengi,uvivu,ubadhirifu,mijitu inataka ilipwe bila kufanya kazi,watumishi wa serikali huwa wanaona wao kuwa kwenye hizo nafasi ni hisani kwa nchi na wananchi,tunataka tuwaambie wao ndio wanahitaji serikali na umma kuliko sie wananchi tunavyowahitaji,
Sasa tunawapa watu kutoka sekta binafsi wawachape bakora mtoke usingizini muache kujiona kama kufanya kazi mnaifanyia favour nchi,tupo watu millioni 65!!watumishi serikalini kuanzia Ikulu,taasisi zote mpaka vijijini hawafiki milioni Tano!?so who needs the other more!?!??
 
Acha chuki na wivu mambo ya age discrimination yamepitwa na wakati ndio maana unakuta Trump na Biden maraisi wa most powerfull county in the world.

Pay for performance ni muhimu hiyo mifumo za kizamani ya GVT ndio inazaa uzembe public sector hata Botswana wana mfumo we pay per performance
na unaleta ufanisi mkubwa.

Hiyo mifumo mibovu sio Bible au Quran ibadishwe tukitaka kuendelea.

Pay- for- Performance, kama ni nzuri ama ni mbaya, haipo kwenye mfumo wa utumishi wa umma.

Unaachaje kujua kwamba serikalini kuna long-settled Salary Scale System ?

He sounded like an idiot!

Kubadilisha mfumo wa mishahara ya taasisi za umma ni agenda ya Taifa, sio ya TANESCO

Pale hakuwa na la kusema kuhusu TANESCO. Inabidi wamfundishe kazi, taratibu na tamaduni za utumishi wa umma.

He is way out of his depth. Ameajiriwa kishkaji na swahiba ake January Makamba (cryonism). Samia Suluhu from Kiembe Samaki does not know Maharage Chande from a hole in a wall.

Kama alivyosema Polepole, genge la waendesha nchi limemfanya Rais mwanasesere.
 
Hapo alipoongelea Pay for perfomance nadhani anaongelea kwa mtumishi mmoja mmoja,yaani utalipwa kutokana na ufanisi wako,na sio mshahara,hii ni aina ya allowance inayolipwa nje ya mshahara.Ukifuatilia kuna baadhi ya mashirika ya nchi za jirani yamefuata huu mfumo yakafanikiwa sana...
 
Hapo alipoongelea Pay for perfomance nadhani anaongelea kwa mtumishi mmoja mmoja,yaani utalipwa kutokana na ufanisi wako,na sio mshahara,hii ni aina ya allowance inayolipwa nje ya mshahara.Ukifuatilia kuna baadhi ya mashirika ya nchi za jirani yamefuata huu mfumo yakafanikiwa sana...
Nchi za jirani wapi ?

Hapa Tanzania hatuna hicho kitu.

Maharage ameonyesha wazi he is a dear in the head light.

He will be a project. Inabidi waanze kumfundisha elementary basics of public service administration.

Halafu waje ya TANESCO. Waste of time.
 
Acha kukariri.

Ukiingia kwenye utumishi wa umma baada ya miaka 45 unavunja taratibu na sheria za hifadhi za jamii, mafao na pensheni.

Maharage pia anakosa sifa za kukabidhiwa shirika kubwa kuliko yote nchini Tanzania. DSTV haifanani na TANESCO.

Pia inabidi akafundishwe from scratch, kuanzia mwanzo kabisa kuhusu tamaduni, taratibu, kanuni na sheria za utumishi wa Umma. He is a project in developmemt.

Maharage Chande mpaka leo hajui kwamba serikalini hakuna bajeti ya kumlipa mtu Pay-for-Performance. Hajui salary scale ni kitu gani. Aliongea vituko siku anatambulishwa.

kajinyonge sasa,wewe ulieingia serekalini ndo unahaki kuliko wenzako raia watanzania....pathetic
 
Back
Top Bottom