bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,347
- 6,738
Naona kama hujui historia ya tanesco unasikiliza vya mitaani tu. IPTL na Dowans viko tangu miaka ya tisini unakwenda kuandika kuwa mitambo ya Dowans na IPTL ameiagiza Dr Idris?Huyu Dr Idris Rashid ndiye aliyetafuta makampuni ya kigeni kuleta mitambo yake ya kuzalisha umeme kwa kutumia mafuta kwa gharama ya kufilisi nchi. Ndiye mwanzilishi (founder) wa mitambo ya umeme wa mabeberu pale Ubungo maziwa na mitambo ya Dowans na IPTL.
Hee chumvi nyingine bwana, hebu jaribu kutafuta facts zako kwanza.