Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,807
- 11,969
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika Shirika la Umeme Tanzania TANESCO , Maharage Chande amesema Februari 2 mwaka huu wanatarajia kuanza kuiwasha Transforma mpya inayofungwa katika kituo cha kupooza umeme cha Kunduchi baada ya kukamilisha matengenezo yake
Akizungumza leo Januari 31,2022,baada ya kutembelea kituo hicho amesema Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limefunga Transfoma hiyo ili kuondoa baadhi ya changamoto zilizokuwa zinajitokeza kwa wateja kupata usumbufu wa kukatikakatika kwa umeme
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika Shirika la Umeme Tanzania TANESCO ,Maharage Chande akizungumza na waandishi wa habari katika kituo cha kupozea umeme cha Kunduchi mara baada ya kukagua ufungaji wa transformer unaoendelea kituoni hapo
Akizungumza leo Januari 31,2022,baada ya kutembelea kituo hicho amesema Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limefunga Transfoma hiyo ili kuondoa baadhi ya changamoto zilizokuwa zinajitokeza kwa wateja kupata usumbufu wa kukatikakatika kwa umeme
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika Shirika la Umeme Tanzania TANESCO ,Maharage Chande akizungumza na waandishi wa habari katika kituo cha kupozea umeme cha Kunduchi mara baada ya kukagua ufungaji wa transformer unaoendelea kituoni hapo