Leo asubuhi 17 may 2010 nilitoka nyumbani kwangu kariakoo saa 12.10 kuelekea tabata Segerea kumpeleka mtoto wangu shule ya Tusiime iliyoko Sanene Segerea mara baada ya kuchwa na gari la shule.
Nilitumia kiasi cha dkk 45 tu kufika huko. Lakini nilipoanza safari ya kurudi mjini tena ilinitumia zaidi ya masaa mawili kufika kariakoo.
Nimesikitika sana kuona jimbo hilo la aliyewahi kuwa NAIBU WAZIRI MIUNDOMBINU kuwa na miundo mbinu mibovu sana na hata kusababisha foleni kubwa sana kuanzia eneo la tabata Posta mpaka kufika barabara ya mandela.
Sasa najiuliza Je mbunge huyu anaishi huko Segerea?
Je anatoka saa ngapi kwenda kazini?
Jitihada gani kama mbunge na zaidi naibu waziri anazozichukua kuepusha faleni hizo?
Nilitumia kiasi cha dkk 45 tu kufika huko. Lakini nilipoanza safari ya kurudi mjini tena ilinitumia zaidi ya masaa mawili kufika kariakoo.
Nimesikitika sana kuona jimbo hilo la aliyewahi kuwa NAIBU WAZIRI MIUNDOMBINU kuwa na miundo mbinu mibovu sana na hata kusababisha foleni kubwa sana kuanzia eneo la tabata Posta mpaka kufika barabara ya mandela.
Sasa najiuliza Je mbunge huyu anaishi huko Segerea?
Je anatoka saa ngapi kwenda kazini?
Jitihada gani kama mbunge na zaidi naibu waziri anazozichukua kuepusha faleni hizo?