Habari nilizozipata hivi punde zinasema yule mpinzani wa Mpendazoe yamemkuta makubwa baada ya kubambwa live na maboksi ya kura feki.... Ameshasombwa na polisi na sasa yupo kituo cha polisi Buguruni kwa mahojiano zaidi
Walioko eneo la tukio tunaomba habari zaidi
Walioko eneo la tukio tunaomba habari zaidi