sabuwanka
JF-Expert Member
- Apr 11, 2015
- 690
- 751
Wakuu salamu, Kama mnavyojua jiji la Dodoma linakua kwa kasi ya 4 G, linapokea wageni kila siku iitwayo leo, naomba tutaje mahali bomba panapo ongoza kutoa huduma bomba na classic za dinner na lunch.
Zitakuwa mwongozo kwa wote wageni na wakazi wa Dodoma.
Karibuni.
Zitakuwa mwongozo kwa wote wageni na wakazi wa Dodoma.
Karibuni.