Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 31,679
- 32,988
🦮Alidai Sabaya na walinzi wake walikuja Arusha na yeye aliitwa na mshitakiwa wa tano katika kesi hiyo,Silverster Nyengu{26} kuwa Sabaya anamwita katika hotel ya Point Zone na alifanya hivyo baada ya nusu saa lakini alikutana getini na msafara wa magari yakiwa yanatoka na aliambiwa apande gari ya nyuma aina ya VX Masai na kujikuta akiwekwa chini ya ulinzi kwa madai kuwa amechelewesha msafara.