Wananchi wenye Hasira Kali wameamua Kumruhusu Mheshimiwa Mramba kuhudhuria Mahakamani mara kwa mara bila kesi yake kuhairishwa tena kwa sababu za kisiasa.
Wakitoa uamuzi huo Wananchi wameamua kumchagua mgombea mwingine ashike nafasi yake ili kupunguza usunmbufu kwa Mahakama.
Hata hivyo habari nilizonazo hivi punde ni kwamba amekubali ombi hilo la wananchi na hivyo anategemea mahakama itamhukumu mara moja aweze kutumikia adhabu yake.
Habari ndo hii
Wakitoa uamuzi huo Wananchi wameamua kumchagua mgombea mwingine ashike nafasi yake ili kupunguza usunmbufu kwa Mahakama.
Hata hivyo habari nilizonazo hivi punde ni kwamba amekubali ombi hilo la wananchi na hivyo anategemea mahakama itamhukumu mara moja aweze kutumikia adhabu yake.
Habari ndo hii