Ungejua maana na masharti ya dhaman usingetoka povu. Ni Mara nyingi Mbowe hakufika mahakamani kwa sababu nyepesi tu na aliachwa. Hata hii ya mwisho kuwa kaugua gafla na kukimbizwa SA ulikuwa usanii tu. Yaani augue, hakuna taarifa ya Chama kama kaugua Mpaka inaenda kutolewa mahakaman? Haileti maana hiyo. Sometimes yote hayo yanatendwa ili kuifanya mahakama ionekane kuwa inawaonea na ni maagizo ya juu. Mbona we zake Mbowe wamekuwa wakienda Mahakaman na hawajapelekwa Segerea?
Acha mahakama itende yale wayapendayo.
Acha mahakama itende yale wayapendayo.