barafu
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 6,726
- 32,818
Kesi hii ilihusisha viongozi wa Kitaifa ambao walikamatwa mara baada ya kutangaza kwenda "kuisaidia" polisi kuzuia mkutano mkuu wa CCM ulioitishwa ili kumchagua Mwenyekiti wa CCM Taifa ili hali kulikuwa na zuio la mikutano ya kisiasa nchi nzima kutoka kwa Polisi.