Mahakama yatoa amri ya kuzuia mgomo wa madaktari hapo kesho!

siamini kama mahakama yaweza kuwa suluhisho zaidi ya kuendeleza ngonjera. hapa tuungano sote kama ndugu kuwaombea ndugu zetu waliolazwa hospitaali wapate ahueni.
 
Tatizo Viongozi wenye akili dhaifu wanataka kuwalazimisha Madaktari wenye akili nyingi wasigome kupitia mahakama Dhaifu, Nini kitatokea wanachi wa kawaida na maskini wasiona uwezo wa kwenda hospital binafsi wakifa bila huruma huku sserikali Dhaifu ya ccm ikijinadi na kuwa chafua madaktari wenye akili nyingi kuwa mgomo hakuna.
 
Utamburuza punda mpaka mtoni lakin je maji atakunywa? kama kama atakunywa bas ni kwakua ameridhika na si vinginevyo. Attendance regester itajaa by saa moja na nusu lakin je wodin wataenda?na kama wataenda watahudumu?na kama watahudumu je huduma itakua stahiki?
Watanzania maisha yetu yanachezewa kamali kwajili ya upumbavu wetu. Tukachagua kundi la wahuni (wanamtandao) na kuliweka madarakan. Hapa hatuteswi na kingine bali upumbavu na uoga wa watanzania sisi wenyewe. Usipovuka mto huez jua kilichopo ng'ambo na hilo ndio tatizo letu tunaogopa unaeza enda ng'ambo ukakuta sio kuzur bt hatujiuliz je kama ni kuzur?
Shame on us Tanzanians including me and all zamakafaz wanaoshabikia upumbavu na mtandao.
 
Kwa watakaogoma kesho msije laumu kujikuta mko keko na wengine rumande kwenye mikoa yenuu gomeni muone nguvu ya dola amri ya mahakama iheshimuni tasafalini
 
Naona kuna watu kesi za kusababisha vifo zinawanyemelea, waendelee tu.
 
Kwa udhaifu wa selikali hii tunakoelekea naona na mahakama nazo zitagomewa, selikali ikisha tumia mahakama inabwateka kama vile tatizo limeisha. Angalia zengwe la waalimu tangu waende mahakamani na mukoba kurushiwa viatu hadi sasa tatizo lipo!
 
Mahakama zetu nazo ni DHAIFU zinafanya kazi kama Kikwete DHAIFU/Magamba DHAIFU
 
Kwa watakaogoma kesho msije laumu kujikuta mko keko na wengine rumande kwenye mikoa yenuu gomeni muone nguvu ya dola amri ya mahakama iheshimuni tasafalini
Wala hakuna Keko au babake na Keko, wakati wanahangaika Muhimbili na kwingineko mahakama zilikuwa wapi? Tatizo la TZ hatuna kigezo cha mshahara, watu darasa la 7 (eti wabunge wakiingia tu wanaanza na 90,000,000/=) kama gratuity ya kununua magari, halafu msomi aliyekaa shuleni kwa miaka zaidi ya 23 anaambiwa atapewa laki tatu wapi na wapi na nani atakubali? Nchi hii inahitaji akina Hiter ili tuongeze bidii ya kazi na tuogope wizi wa waziwazi
 
nimeamini kweli serikali ni dhaifu....wanakimbilia mahakamani ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha. Mgomo pale pale
 
Naona kuna watu kesi za kusababisha vifo zinawanyemelea, waendelee tu.

Nipo kazini hapa hakuna oxygen mgonjwa aliihitaji sana iokoe maisha yake, nani kasababisha Kifo hapo? Hakuna pesa ya kununua mtungi hata mmoja tu hospitali nzima ya wilaya? Tafakari mkuu.... Siku ukileta mwanao hapa akatutoka kisa hakuna vitendea kazi ndo utajua nini tunamaanisha
 
Na hili suala la Mahakama kuendesha mambo yake kwa kusukumwa na wanasiasa litatufikisha pabaya. Baba Ritz alishindwa hawa wataweza?
 
Nipo kazini hapa hakuna oxygen mgonjwa aliihitaji sana iokoe maisha yake, nani kasababisha Kifo hapo? Hakuna pesa ya kununua mtungi hata mmoja tu hospitali nzima ya wilaya? Tafakari mkuu.... Siku ukileta mwanao hapa akatutoka kisa hakuna vitendea kazi ndo utajua nini tunamaanisha

Kwanini usinunuwe wewe mtungi wa gesi kwa fedha unazopata kutoka hospitali za private, kama kweli una nia ya kuokoa maisha? ambazo kuna uwezekano mkubwa kuwa hata kodi huzilipii.
 
Kwanini usinunuwe wewe mtungi wa gesi kwa fedha unazopata kutoka hospitali za private, kama kweli una nia ya kuokoa maisha? ambazo kuna uwezekano mkubwa kuwa hata kodi huzilipii.
Nimejaribu kufuatilia mchango wako humu, hadi unatia huruma!! Hivi unalipwa shilingi ngapi kwa kushindia Jamii forum kutwa kucha?? Hiyo ndiyo ajira yako ee??
 
Kwa udhaifu wa selikali hii tunakoelekea naona na mahakama nazo zitagomewa, selikali ikisha tumia mahakama inabwateka kama vile tatizo limeisha. Angalia zengwe la waalimu tangu waende mahakamani na mukoba kurushiwa viatu hadi sasa tatizo lipo!
lol................
 
Back
Top Bottom