Pale kwake Kigamboni hayuko kweli?? Sidhani kama huyu jamaa katoweka, wakati ana nyumba yake pale Kigamboni...
 
Dunia inazunguka ndugu zangu...leo hii Makonda anaishi kama panzi...

Tutende wema usitafute kutambuliwa, huo Wema utakutetea mbeleni.

Jambo moja tu litakalomtesa Makonda mpaka anakwenda Kaburini ni kumchapa kofi Mzee Warioba.
 
Sishangai PAULO MAKONDA kuivimbia MAHAKAMA kwani Hata BUNGE Alilivimbia
1643389638751.jpg


Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Kwa kuwa ANATUMIA KINGA ya Mwendazake KESI ITAFUTWA

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
nani kakwambia kuna kesi hapo?

Unadanganywa na kubenea?! haaahaaa.

hapo hakuna tofauti na alicho kifanya mzee Mbatia alipoenda kudai eti.. Ndugai hakujiuzulu bado ni spika!!....matokeo yake alibaki kushangaa mabenchi yalipo mahakamni. unpoteza muda na fedha zako bureeee kwa ujinga.

kabla ya kutenda kwanza tafakari matokeo ya unacho taka kukitenda.
 
Fingerprints nazo amefoji?Labda hajapitia kwenye vituo vya immigration. Au yupo nchini kizuzini.Au atajitokeza pale atakapobanwa na mkono wa sheria.

Fingerprints zenyewe unasajili line tatu sehemu tofauti na unapewa tu wala hawashtuki
Hivyo hivyo border unaweza pita tu
Sheria zetu ni legelege sana hakuna anaechukulia seriously

Njia nyingi pia za panya kama anataka kutoka
 
Mahakama ya Kinondoni leo Jumanne imetoa amri ya kutangazwa gazetini, nyumba aliyoishi Masaki na au kijijini kwao Kolomije kwa aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ili apate taarifa za kesi iliyofunguliwa dhidi yake na Mwandishi wa Habari, Saed Kubenea. Kesi itatajwa 2 Machi 2022.

Pia soma > Paul Makonda ashindwa kufika Mahakamani katika kesi inayomkabili. Kesi yaahirishwa hadi 08 Feb 2022

Shauri hilo limetajwa kufuatia Mahakama hiyo kushindwa kusikiliza hapo awali baada ya shughuli kuingiliana.

----

Akizungumza mahakamani hapo Leo Wakili wa upande wa waleta maombi Nyaronyo Kicheere, ameeleza kwamba wameshindwa kumpata mjibu maombi namba 3 ambaye ni Paul Christian Makonda kwa kuwa Masaki alikokuwa anakaa amekwishahama na namba yake ya simu haipatikani na hivyo kuiomba Mahakama hiyo iwapatie hati ya kumsaka maeneo mbalimbali.

Aidha wameomba kupewa hati za wito ambazo zitapelekwa alipokuwa akifanyia kazi kwa mara ya mwisho, kwenye nyumba aliyokuwa anaishi kwa mara ya mwisho, maeneo anayotembelea mara kwa mara na nyingine iwekwe katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, nyingine ipelekwe bandarini, Kolomije, Misungwi mkoani Mwanza na ya mwisho ipelekwe kwenye gazeti la Kiswahili na la kingereza.

Wakili ameongeza kuwa lengo la kufanya hivyo ni kutaka mjibu maombi hayo ambaye ni Paul Makonda apate taarifa juu ya uwepo wa kesi hiyo mahakamani.

Kwa upande wake Hakimu wa mahakama hiyo Aron Ryamuya, ameeleza kuwa hoja ya kwenda kubandika hati hizo katika viwanja vya ndege na bandarini ni kinyume cha sheria na ni uchafuzi wa mazingira na badala yake akakubali matangazo hayo yapelekwe kwenye nyumba yake ya Masaki aliyokuwa akiishi, kwenye gazeti na kijijini kwao Koromije pekee.

Kesi hiyo namba 1 ya mwaka 2022, imeahirishwa hadi Jumatatu ya Machi 2, 2022.

Chanzo: EATV
Watamtangaza kwa jina lipi! Daud Bashite au Paul Makonda na kama kesi ni ya Paul Makonda haendi mahakamani kwa sababu jina si lake, na kama Daud Bashite haendi mahakamani kwa sababu jina si lake.
 
JPM kawazidi sana. Kafa Lakini mnateseka sana kama ma x. JPM alikuwa Rais sio mchungaji au yesu au mtume. Kama kumbukumbu yangu iko Sawa. Makonda aliibuliwa bunge la Katiba. ( Sijui JPM alihusika)...
Wewe unprejudiced ndiyo inahitaji tiba kwa kuona kuwa ilikuwa kitu cha kawaida kwa Makonda kufanya aliyoyafanya na Mkuu wa Nchi akaona sawa tu.

Haijalishi Makonda alipita wapi kufikia kuwa DC hadi Magufuli anamkuta, kimsingi ni namna alivyomtumia MAKONDA kutekeleza vitendo viovu vya kuua, kuteka, kutesa na kudhulumu mali za watu.

Kama unaona hiki kitu ni sawa basi wewe ni mlemavu wa akili.
 
Bashite katulia Tuli anawazoom tu mahakama walivyo wajinga wanajisumbua kwake

Makonda.JPG
 
angekua above the law mahakama isingetoa hati hiyo ,ujue asipoudhuria tena mahakamni itaonekana ameidharau mahakama na mahakama itatoa warrant of arrest.
Mlikuwa mnamdanganya hivyohivyo mfungwa sabaya
mtakuja kukimbia post zenu hapo baade
kuhusu mataga mwenzangu sabaya alizingua mwenyewe, alimdharau saa 100, comrade Bashite yeye ni rafiki wa Mama, Sabaya tungekuwa naye leo tunakula pesa za chama lakini yeye kiburi kilimponza, lakini hata hivo bado analindwa si unaona mali zake mpaka leo hazijauzwa wala kutaifishwa
 
MAKONDA_ANAISHI_KAMA_DIGIDIGI_%0A%0AKijana_aliyekuwa_amejipa_cheo_cha_%E2%80%9Cmla_bata_mkuu%E...jpg


Hii ndio habari inayozunguka kwa sasa nchi nzima .

Bali watoa Tangazo hilo wamesahau kuweka dau ambalo atalipwa atakayewezesha Makonda kupatikana .
 
Back
Top Bottom