Mizizi
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 1,275
- 391
mambo ya dini yana mahakama zake Mbinguni. hakuna mamlaka iliyojuu zaidi ya ile itokayo kwa Mungu. hata hivyo waumini tulishaambiwa tumdharau kikwete baada ya saa 48. hiyo ni uthibitisho tu kwamba kikwete anadharaulika.
dare for more?
Dini pia zinatuamuru kuheshimu mamlaka tulizoziweka hapa duniani!