Jifunze kuandika heading,au unadhani unaandikia magazeti ya udaku! kuhudhulia kusimikwa kwa huyo askofu hakumfanyi mokia kuwa amedharau mahakamaWiki iliyopita mahakama mkoani Arusha ilitoa amri kuzuia kusimikwa kwa askofu mmojawapo wa kanisa la anglikana mkoani humo kufuatia kesi iliyofunguliwa na waumini watatu wa kanisa hilo. Licha ya amri hiyo HALALI ya mahakama jana askofu huyo amesimikwa hadharani katika sherehe iliyohudhuliwa na askofu mkuu wa kanisa hilo Valentino mokiwa. Najiuliza maswali, je kanisa liko juu ya sheria kiasi cha kutotii amri ya mahakama?Je tutarajie hakimu atoe hati ya kukamatwa askofu mokiwa na wenzake kwa kukiuka amri halali ya mahakama? Je mahakama itamzuia askofu huyo kutimiza majukumu yake ya kichungaji???? Je si kwamba kitendo hicho kimeidhalilisha mahakama na kuishushia hadhi mbele ya jamii na kuonekana amri yake si lolote si chochote? Yote haya ni maswali yanayohitaji majibu.
Migogoro yote ya Kanisa anglicana dayosisi ya Mt. kilimanjaro inatookeaga St. james parishi. Na waanzilishi ni haohao. Nadahnia wanaitaji maombi zaidi.
Peleka kwenye Jukwaa la Sheria (The Law Forum)Wiki iliyopita mahakama mkoani Arusha ilitoa amri kuzuia kusimikwa kwa askofu mmojawapo wa kanisa la anglikana mkoani humo kufuatia kesi iliyofunguliwa na waumini watatu wa kanisa hilo.
Licha ya amri hiyo HALALI ya mahakama jana askofu huyo amesimikwa hadharani katika sherehe iliyohudhuliwa na askofu mkuu wa kanisa hilo Valentino mokiwa. Najiuliza maswali, je kanisa liko juu ya sheria kiasi cha kutotii amri ya mahakama?
Je tutarajie hakimu atoe hati ya kukamatwa askofu mokiwa na wenzake kwa kukiuka amri halali ya mahakama?
Je mahakama itamzuia askofu huyo kutimiza majukumu yake ya kichungaji???? Je si kwamba kitendo hicho kimeidhalilisha mahakama na kuishushia hadhi mbele ya jamii na kuonekana amri yake si lolote si chochote? Yote haya ni maswali yanayohitaji majibu.
Kiswahili kina pekechuliwa, hii kusimikwa imetokana na neno kusimika? Kama kwenye "dudu" inavyo simika? Mnashangaza!
Kwa wastani wa Post 32 kwa siku au Post Moja na nusu kwa saa...huna jingine zaidi JF!Kiswahili kina pekechuliwa, hii kusimikwa imetokana na neno kusimika? Kama kwenye "dudu" inavyo simika? Mnashangaza!
Kwa hiyo mahakama na hakimu wamechemka kutoa amri ya Dr. Mokiwa kukamatwa? Kama mahakama ilizuia askofu wa Kilimanjaro asisimikwe na aliyesimikwa ni kwa Tanzania hapo tatizo liko wapi? Itabidi mahakama iifute hiyo hati ya kukamatwa kwa Dr. Mokiwa kwa kukiuka amri ya mahakama la sivyo tutadhani kuna mkono wa mtu hapo? Huyo Dr. Mokiwa si ndiye aliyetoa saa 48 kwa Kikwete kuwataja wauza unga alipochemsha kwa kuwasema maaskofu wanajihusisha na madawa yakulevya?
Tiba
Peleka kwenye Jukwaa la Sheria (The Law Forum)
Kiswahili kina pekechuliwa, hii kusimikwa imetokana na neno kusimika? Kama kwenye "dudu" inavyo simika? Mnashangaza!
Kiswahili kina pekechuliwa, hii kusimikwa imetokana na neno kusimika? Kama kwenye "dudu" inavyo simika? Mnashangaza!
Kiswahili kina pekechuliwa, hii kusimikwa imetokana na neno kusimika? Kama kwenye "dudu" inavyo simika? Mnashangaza!
Dada unapepo baya linakusumbua wewe! Unawaza "dudu" huo kichwani kwako maana ndio imekupapia hata kazi hapa JF. Kweli Sheikh Yahya alisema wote mna mapepo!Kiswahili kina pekechuliwa, hii kusimikwa imetokana na neno kusimika? Kama kwenye "dudu" inavyo simika? Mnashangaza!
Hivi haya mambo gani! Mambo ya DINI tangu lini mahakama ikahusikana nayo? Kwani mambo ya CANON LAW yamo kwenye sheria zetu za nchi hii? Mimi naona kama bahadhi ya madhehebu yamegeuzwa kama kitega uchumi/biashara, kwa nini tushangae wakati Jakaya aliposema bahadhi ya wakuu wa DINI ni Kingpin wa madawa ya kulevya - haya mambo ya Maaskofu kuamua kufikishana mahakamani si jambo la KAWAIDA hata kidogo, kuna KITU.Mahakama ilitoa amri ya kusimikwa kwa Askofu wa Dayosisi ya Kilimanjaro, alichofanya Askofu Mokiwa na wenzake ni kumsimika Askofu wa Kanisa la Anglikana Tanzania lakini hajasimikwa kuwa Askofu wa Dayosisi ya Kilimanjaro!! Kesi ikiisha kama atashinda basi atasimikwa kuwa Askofu wa Anglikana Dayosisi ya Kilimanjaro. Kwa sasa anabaki kuwa na cheo cha uaskofu bila kuwa na Dayaosisi kama vile kina Askofu Donald Mtetemela, Askofu John Ramadhani n.k.
Mimi nadhani yote ni mazuri tu haya na viongozi wa Kanisa waonje mgongano wao na wanasiasa; wamekuwa wakikumbatiana sana hadi wengine wamejisahau. Lakini ni nzuri pia kwa sababu inazidi kuwaonesha wananchi maana ya double standard hasa litakapotokea kwa viongozi wa CCM na serikali hasa wale wa ngazi za juu.
mambo ya dini yana mahakama zake Mbinguni. hakuna mamlaka iliyojuu zaidi ya ile itokayo kwa Mungu. hata hivyo waumini tulishaambiwa tumdharau kikwete baada ya saa 48. hiyo ni uthibitisho tu kwamba kikwete anadharaulika.
dare for more?
Mahakama ilitoa amri ya kusimikwa kwa Askofu wa Dayosisi ya Kilimanjaro, alichofanya Askofu Mokiwa na wenzake ni kumsimika Askofu wa Kanisa la Anglikana Tanzania lakini hajasimikwa kuwa Askofu wa Dayosisi ya Kilimanjaro!! Kesi ikiisha kama atashinda basi atasimikwa kuwa Askofu wa Anglikana Dayosisi ya Kilimanjaro. Kwa sasa anabaki kuwa na cheo cha uaskofu bila kuwa na Dayaosisi kama vile kina Askofu Donald Mtetemela, Askofu John Ramadhani n.k.
Mahakama ikikosea inafanywaje. "Hakuna mtu aliye juu ya sheria".Kwa hiyo mahakama na hakimu wamechemka kutoa amri ya Dr. Mokiwa kukamatwa? Kama mahakama ilizuia askofu wa Kilimanjaro asisimikwe na aliyesimikwa ni kwa Tanzania hapo tatizo liko wapi? Itabidi mahakama iifute hiyo hati ya kukamatwa kwa Dr. Mokiwa kwa kukiuka amri ya mahakama la sivyo tutadhani kuna mkono wa mtu hapo? Huyo Dr. Mokiwa si ndiye aliyetoa saa 48 kwa Kikwete kuwataja wauza unga alipochemsha kwa kuwasema maaskofu wanajihusisha na madawa yakulevya? Tiba