Mahakama yashindwa kuzuia mgomo wa walimu,

Wakuu wa mikoa ya D'salaam, Mwanza, Morogoro na Ruvuma waache ubabe wa kuwatisha na kwanyanyasa walimu wanao goma, waheshimu msimamo wa mahakama ya kazi!
 
Is teaching a professional?
Please greet thinkers may you comment on this threat, may be what i passive is wrong that teaching is not a professional that is why teachers are underpaid, ignored and undermined in our country Tanzania.

Sijui kama kwenye red ni sahihi. But teaching is a PROFESSION and not PROFESSIONAL, but we have a PROFESSIONAL TEACHERS. Sijui kama unaona tofauti ya vitu hivi?
 
Is teaching a professional?
Please greet thinkers may you comment on this threat, may be what i passive is wrong that teaching is not a professional that is why teachers are underpaid, ignored and undermined in our country Tanzania.
Mzee Nhundu vipi hapo kwenye bold nakuomba ufunguke zaidi hujaeleweka mkuu.. au ndio zile haraka za kuandika na kupost bila kuangalia mauzui ya content yako..?
 
Dear sir, how you define a profession? When someone is overpaid, not ignored and undermined is a profession. So a sweeper in BOT who is paid more than a Doctor is a professinal. Fallacy.
 
Source ITV Habari

Mahakama ya kazi division ya kazi imeshindwa kutoa hukumu juu ya mgomo wa walimu na serikali hadi tarehe 2 August 2012 na mahakama imedai mgomo haukufuata taratibu zote na ni batili na viongozi wanasema ni halali

Mahakama haikusema hivyo,bali wakili wa serikali.
 
Is teaching a professional?
Please greet thinkers may you comment on this threat, may be what i passive is wrong that teaching is not a professional that is why teachers are underpaid, ignored and undermined in our country Tanzania.
YOU PERCEIVE IT WRONG kilaza mkubwa
 
hacha uongo wote tumeona hiyo habari walichosema watatoa hukumu tarehe 2 mwezi wa nane

kajifunze kiswahili kwanza ndio je hapa kuchangia..hacha ndo nini?au ulitaka kusema acha!!! halafu mnasema baraza la mitihani linawaonea linasahihisha mitihani yenu vibaya ...
 
Kaazi kweli kweli skuwahi kufikilia walimu kugoma cuz wameimba huu wimbo mda mrefu........Mkoba hawata mlimboka kweli????
 
Is teaching a professional?
Please greet thinkers may you comment on this threat, may be what i passive is wrong that teaching is not a professional that is why teachers are underpaid, ignored and undermined in our country Tanzania.

Una mawazo mazuri lakini tumia lugha unayoielewa vizuri katika kuwasilisha ujumbe.
 
kajifunze kiswahili kwanza ndio je hapa kuchangia..hacha ndo nini?au ulitaka kusema acha!!! halafu mnasema baraza la mitihani linawaonea linasahihisha mitihani yenu vibaya ...
unamkosoa mwenzio...
wewe je hapo kwenye "ndio je hapa" unamaanisha nini?
 
mahakama oneni aibu mnataka kupindisha sheria kwan hamjatoa sababu za kushindwa kufkia muafaka
 
Mgomo wa walimu ni halali,huyo wakili ni dhaifu na hii ndo inafanya serikali kuingia gharama baada ya kushindwa kesi mara kibao.
Leo ndo nimeamini hatuna serikali!
 
madrasa wanaenda shida iko wapi!!!!
Nyinyi wa makanisani mtajijua na mtakatifu zenu sijui st.

Dah! Humu JF kuna mazuzu kweli kweli...kama huna la kuchangia nenda kavizie futari ya bure kwa jirani..
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom