Katika kile kilichoonyesha kua walimu ndani ya nchi hii ndio waliowafundisha wote wenye maarifa na hao wenye madaraka,
Baada ya serikali kuweka zuio mahakamani leo mahakama imeshindwa kuzuia mgomo kabisa.
hivyo cwt walisha weka zuio na kinga hiyo hukumu mpaka j5 saa 8 mchana hivyo walimu wanaendelea kukaa nyumbani mpaka baada ya hukumu.
Rai yangu mabavu na uonevu na kutothamini taaluma ndani ya nchi hii itakuja wapelekea kupata hasara kubwa
Baada ya serikali kuweka zuio mahakamani leo mahakama imeshindwa kuzuia mgomo kabisa.
hivyo cwt walisha weka zuio na kinga hiyo hukumu mpaka j5 saa 8 mchana hivyo walimu wanaendelea kukaa nyumbani mpaka baada ya hukumu.
Rai yangu mabavu na uonevu na kutothamini taaluma ndani ya nchi hii itakuja wapelekea kupata hasara kubwa