Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Aliyekuwa Makamu wa Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF), Michael Wambura amerudishwa tena rumande hadi Februari 28, 2019
Wambura anakabiliwa na mashtaka 17 yakiwemo ya uhujumu uchumi
Wakili wake Majura ameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imfutie mashtaka hayo kwa maelezo kuwa si ya uhujumu uchumi
Mahakama imejibu kuwa haina mamlaka ya kumfutia kesi bwana Wambura
Wambura anakabiliwa na mashtaka 17 yakiwemo ya uhujumu uchumi
Wakili wake Majura ameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imfutie mashtaka hayo kwa maelezo kuwa si ya uhujumu uchumi
Mahakama imejibu kuwa haina mamlaka ya kumfutia kesi bwana Wambura