Huyu hakimu ajue kuna siku tutakuwa na utawala tofauti.
unamfokea nani sasa?Najua Tundu hawezi na hana sifa ya kuwa no. 1 wetu. Lkn kwa matendo haya dhidi ya mahakama ni mfano hai wa nchi kusadikika atakayoiongoza bwana huyu. Mbinafsi, mbishi, mwenye dharau na asiye na chembe ya staha kwa wenzake.
Naishangaa mahakama nayo kwa kufumbia macho hii contempt of court anayofanya msomi huyu wa kufikirika tena kwenye kesi ya jinai. Kwa nn hakimu asisikilize mashauri ya Lissu expatre?
Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
mhamiaji haramu alali usingizi tangu ujio wa lisu..Hakimu anatumika kumuwekea TL "spidi-gavana."
..ili haki itendeke ni kesi zote zilipaswa kuahirishwa mpaka baada ya uchaguzi.
..TL siyo mhalifu sugu au wa kutisha, hivyo kesi hizo zinaweza kumsubiri.
..HAKI inapaswa kutendeka, na zaidi inapaswa kuonekana inatendeka.
alibebwa ubunge,alibebwa uwaziri alibebwa uraisi safari hii mbebabaji Mungu alimpenda zaidiHawezi siasa sa ushindani lakini kashindana mpaka kawa rais sasa hao wanaoweza kushindana nadhani watakuwa marais wa dunia.
Dereva ndo mpiga risasi. Sawwa.. hayya tuelezeni kwann mmeng'oa cctv na walinzi mkawapa off🐖🐖shwain nyieDereva wa Lisu yuko wapi?
Ndiyo mpiga risasi