mwanamwana
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,076
- 4,113
Mahakama ya Ilala imemwachia huru mfanyabiasha, Mohamed Kiluwa, aliyekuwa anakabiliwa na shtaka la kutoa rushwa ya dola 40,000 kwa Waziri Lukuvi baada ya upande wa mashtaka kushindwa kuthibitisha mashtaka dhidi yake kwamba ushahidi wa mashtaka ulikuwa wa hisia. Pia imeamuru arudishiwe fedha zake Milioni 90.
Pia soma
> Anayetuhumiwa kutoa rushwa ya Milioni 90 kwa Lukuvi afikishwa Mahakamani - JamiiForums
> Anayedaiwa kutoa rushwa kwa Waziri Lukuvi akutwa na kesi ya kujibu - JamiiForums
> Mshtakiwa: Waziri Lukuvi alinipiga kabari na kunipora begi lenye pesa - JamiiForums
Pia soma
> Anayetuhumiwa kutoa rushwa ya Milioni 90 kwa Lukuvi afikishwa Mahakamani - JamiiForums
> Anayedaiwa kutoa rushwa kwa Waziri Lukuvi akutwa na kesi ya kujibu - JamiiForums
> Mshtakiwa: Waziri Lukuvi alinipiga kabari na kunipora begi lenye pesa - JamiiForums