Peter Madukwa
JF-Expert Member
- Sep 20, 2012
- 3,134
- 2,465
Mahakama ya Makimu Mkazi Lindi, imewafutia mashtaka yaliyokuwa yakiwakabili aliyekuwa mgombea ubunge ktk jimbo la Nachingwea, Dkt. Mahadhi Yusuph Mmoto na wafuasi wake 11 wa CHADEMA ambao walikamatwa wakati wa uchaguzi mwezi Oktoba 2020 kwa kuhusishwa na vurugu zilizotokea wakati wa uchaguzi.
Wote kwa pamoja watatakiwa kuripoti kituo cha polisi Nachingwea mjini Tarehe 16 Jumatatu ijayo.
Picha hapa chini ni aliyekuwa mgombea ubunge Jimbo la Nachingwea Dkt. Mahadhi Mmoto (aliyechomekea shati la bluu) na wenzake 11 walioachiwa huru ktk Mahakama ya Hakimu Mkazi Lindi
Hongera kwa serikali ya awamu ya 6 kwa kuimarisha maridhiano ya kisiasa
Wote kwa pamoja watatakiwa kuripoti kituo cha polisi Nachingwea mjini Tarehe 16 Jumatatu ijayo.
Picha hapa chini ni aliyekuwa mgombea ubunge Jimbo la Nachingwea Dkt. Mahadhi Mmoto (aliyechomekea shati la bluu) na wenzake 11 walioachiwa huru ktk Mahakama ya Hakimu Mkazi Lindi
Hongera kwa serikali ya awamu ya 6 kwa kuimarisha maridhiano ya kisiasa