mlwilomlwilo
Member
- Dec 25, 2018
- 65
- 51
Umewaza nje ya 18, fuatilia makosa mengi anayofanya jamaa lkn kesi huwa zinaisha kirahisi sana.Halafu mbona kama naona zitto is always doing extreme stuffs and he gets away with them stuffs.
Ni kwamba zitto anajua mipaka yake sana au kuna kitu nyuma ya pazia.
Yaani anaweza tu akatoa maneno makali mazitoo mwisho wa siku husikii akapigwa kashkash kama za wapinzani wengine.
Just sinking!