Mahakama yageuka kichaka cha ccm kujificha.

nkyalomkonza

JF-Expert Member
Jun 18, 2012
1,154
443
Hivi karibuni kumeibuka tabia ya kuziba watu midomo kwa kusema "Suala hili lipo mahakamani na haliruhusiwi kuzungumiwa hapa".

Mijadala mbalimbali bungeni hususani inayotolewa na vyama pinzani huzimwa kwa ubabe kwa kutumia kauli hii.
Ifike wakati kuzipitia upya sheria hizi zisiwe kandamizi kwa wananchi. Kazi ya sheria sio kuwabana watu bali kuwasaidia jamii kuishi ipasavyo.

Natoa wito kwa wadau kulaani hii tabia inayoibuka kwa kasi.
 
[h=3]Roles and Functions ot TANZANIAN JUDICIARY[/h]Interpreting diverse Laws and execution administrative decisions.Hearing and deciding cases filed before the courts of law.Educating members of the public of their rights obligations under the laws of the Tanzania.Facilitating maintenances of peace and order through good governance and the rule of law.
 
It is very unfortunate! Hii ndiyo huwa naiita 'professional suicide'. Wao wakisema, ni halali, wakisema wapinzani, ooh, suala liko mahakani, haturuhusiwi kuliongelea. haijapita siku mbili Rais ambaye ni sehemu ya Bunge analiongelea tena kwa kuhukumu! Then unasikia kituko kingine. Haturuhusiwi kujadili masuala ya Muhimili mwingine....mhimili mwingine my foot! Kwani Bunge huwa halijadili serikali (executive)? Na je Serikali siyo muhimili mwingine? Nini maana ya checks and balances? Nini maana ya kupitisha bajeti? Kusema kuwa teuzi za majaji na mahakimu zinafanywa kwa upendeleo ndiyo kujadili mhimili mwingine? Nani asiyejua kuwa quality ya judgement ya majaji wengi iko chini?....Ee Mungu tunusuru na kufuru hii ya Bunge letu.
 
Sijwahi kuona cae inapelekwa mahakamani bila ushahidi wa kina kutimia. Pale prosecutors wanapoona kuwa hakuna ushahidi wa kutosha kufikisha case mahakamani, huwa wanasita sana kufanya hivyo, na mara nyingi mtuhumiwa huachiwa huru mpaka pale ushahidi wa kutosha kupatikana.
 
Sijwahi kuona cae inapelekwa mahakamani bila ushahidi wa kina kutimia. Pale prosecutors wanapoona kuwa hakuna ushahidi wa kutosha kufikisha case mahakamani, huwa wanasita sana kufanya hivyo, na mara nyingi mtuhumiwa huachiwa huru mpaka pale ushahidi wa kutosha kupatikana.

wanakimbilia mahakamani kwa ajili ya kuwaziba watu midomo. Mi nadhani hiyo sheria inapotoshwa. Naomba wanasheria mtuelishe.
 
It is very unfortunate! Hii ndiyo huwa naiita 'professional suicide'. Wao wakisema, ni halali, wakisema wapinzani, ooh, suala liko mahakani, haturuhusiwi kuliongelea. haijapita siku mbili Rais ambaye ni sehemu ya Bunge analiongelea tena kwa kuhukumu! Then unasikia kituko kingine. Haturuhusiwi kujadili masuala ya Muhimili mwingine....mhimili mwingine my foot! Kwani Bunge huwa halijadili serikali (executive)? Na je Serikali siyo muhimili mwingine? Nini maana ya checks and balances? Nini maana ya kupitisha bajeti? Kusema kuwa teuzi za majaji na mahakimu zinafanywa kwa upendeleo ndiyo kujadili mhimili mwingine? Nani asiyejua kuwa quality ya judgement ya majaji wengi iko chini?....Ee Mungu tunusuru na kufuru hii ya Bunge letu.

Kwa nchi hii kwa sasa hakuna mihimili mitatu, bali chama kimeshika hatamu.
 
Back
Top Bottom