Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,039
- 2,199
Taarifa:
Mahakama kuu kitengo cha kazi imefutilia mbali kesi inayoihusu MAT na serikali kupitia kwa mwanasheria mkuu wa serikali. Hukumu hii ilitolewa tarehe 5.12.2013 na Mh. Jaji Aboud baada ya serikali kushindwa kuleta vielelezo na sababu za msingi za kufungua kesi hiyo dhidi ya MAT. Taarifa hii imetolewa kwa kuchelewa kwa kuwa tulikuwa na msiba.
source:mwenyekiti wa MAT Dr Primus Saidia