Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 46,918
- 122,179
Ndugu abiria, mahakama imefanya uamuzi mzuri sana leo. So, mna dakika 45 za kuchimba dawa ndipo tuendelee na safari yetu.
Ndugu abiria, mahakama imefanya uamuzi mzuri sana leo. So, mna dakika 45 za kuchimba dawa ndipo tuendelee na safari yetu.
Ruti yake ni nyanda za Juu kusini, huko Dumila hapitiNdugu abiria nishakuwa milionea tukifika Dumila tafuteni dereva mwingine awafikishe Dar!
Alimuomba ridhaa wakati anampiga?Nani aliipiga hiyo picha ? Picha ni mali ya mpigaji na si mpigwa!
Anunue basi aliingize kwenye kampuni, ila sasa nyumba ndogo barabara anayopita zitamsumbua kwa matarajio.
Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni leo Agosti 10, 2022 imeiamuru Kampuni ya Bima ya Dexter Insurance kumlipa dereva wa Kampuni ya mabasi ya New Force, Waubani Linyama maarufu kama ‘Ndugu abiria’ fidia ya Shilingi milioni 150 kwa kosa la kutumia picha yake kwenye mitandao ya kijamii kujipatia faida au biashara bila idhini yake.
Kwamba uko serious sana au?Ruti yake ni nyanda za Juu kusini, huko Dumila hapiti
Hakuna sheria inayomkataza mtu kupigwa picha ila kuheshimu utu na haki binafsi mtu anaweza kukataa kupigwa picha.Alimuomba ridhaa wakati anampiga?
Milioni 150 ni hela ndogo sana kwenye matumizi japo ni nyingi kwa kuitamka. Nimependa ujasiri wake wa kupigania haki yake, ni mwanzo mzuri wa kuwa na kizazi cha watu wachache wanaojitambua.
Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni leo Agosti 10, 2022 imeiamuru Kampuni ya Bima ya Dexter Insurance kumlipa dereva wa Kampuni ya mabasi ya New Force, Waubani Linyama maarufu kama ‘Ndugu abiria’ fidia ya Shilingi milioni 150 kwa kosa la kutumia picha yake kwenye mitandao ya kijamii kujipatia faida au biashara bila idhini yake.
MANDONGA nae awe serious wengi watalipa mahelaaa...Jamaa ua hana makuu kabsa nlfanya nae tangazo la Tgo sema mikataba ya apa na pale imemfumbua macho ye alkua anaona n for fun
Picha ile ilimpa kwanza mshtuko, pili hofu na madaktari wanethibitisha kuwepo kwa woga kutokana na fedheha hivyo kuhesabika kama udhalilishaji na kuchafua hadhi yake, mahakama inaombwa kutoa adhabu kali mnoo kwa mshitakiwa ili iwe onyo kwake na wote wenye tabia kama hiyoMilioni 150 ni hela ndogo sana kwenye matumizi japo ni nyingi kwa kuitamka. Nimependa ujasiri wake wa kupigania haki yake, ni mwanzo mzuri wa kuwa na kizazi cha watu wachache wanaojitambua.
Yule anaburuzwa kama upepoMANDONGA nae awe serious wengi watalipa mahelaaa...