Mahakama yaamuru Cyprian Musiba kulipa faini ya Tsh. bilioni 6 kwa kumchafua Bernard Membe

Hapo hata akiuza mali zake zote, auze familia na ukoo wake wote ajiuze na yeye mwenyewe hatoboi
Aende nyumbani kwa Membe akafanye kazi za bustani angalau kwa miaka 10 ili kupunguza makali ya deni.
 
Ukiipasua bulb,utakuwa gizani. Huyu mtu alikuwa anaandika highly classified intelligence reports. What have you got against that?
Membe alikuwa kwenye kashfa ya kupitisha hela airport. Lile swala liliisha vipi?

Highly classified intelligence kwenye kijarida cha Tanzanite na YouTube?
 
Aanze kulipa Bukubuku kwa siku, mdogomdogo atamaliza...

Kujifanya unatetea dubwana kubwa linaloitwa au litaasisi kubwa lenye mizizi iliyojichimbia sana alafu huna koneksheni za maana ni ujinga.

ujanja wa mwanasiasa na mpambe wake huwa ni miaka mitano. Sasa unapokuwa shabiki wa mtu mwenye kinga kisheria ibadi akili iwe nyepesi sana kujiongeza na kucheza miguu yote miwili huku ukiweka akiba incase akafariki siasa au akafariki dunia kabisa.
Ntumie picha yako iwekwe kwenye bendela ya nchi
 
Musiba mwenyewe yule!!!??? Hivi watu wengine bana!hamuoni hata aibu kuomba Billion! zooote hizo kwa mjita yule maskini? azitoe wapi? kwanza hata hakimbii!! yuko hapo Mwibara mmtafune sasa tuone!

kakimbia kimbia huko Kingdom of Lesotho!! weee!! waka mwambia bwana wee! rudi tu! kaa tuone! watakacho kufanya hao! ila jamani kasi yake ya kula chips!! ilinishangaza sana, ana maneno meengi!!

leo hii hata ukiambiwa huyu ndo yule Msiba hutaamni macho yako kagazeti kufilia kwa mbaki kureee! yule alijua tu hata mwisho mbaya ukija yeye shega tu! hata Membe ataona aibu kumshitaki! hata leo hii sami akisema anataka watu km Msiba mbona atakimbia mwenyewe!

jamani muwe wa kweli tu! mleta Mada leo hii ukipewa kazi km ya Msiba!! utaaacha fweza weye? na umiliki wa kagazeti kako juu!? unalindwa unam tetea!! hivi nani asiye penda upambe wa Rais?
 
Lakin kwanini hiyo hukumu haikutoka mwendazake akiwa hai kwanini zinatoka saivi akiwa hayupo kwa mantiki hiyo kwanini tusiseme na mahakama zinatumika kumkandamiza musiba,Kama mahakama basi zinaiogopa taasisi ya urais basi hakuna uhuru wa mahakama hapa Tanzania
 
Apewe kazi ya u house boy kwa Membe
20230416_130655.jpg
 
Back
Top Bottom