MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,734
Kwanza alikuja na Slogan ya The Return of Champions akimaanisha kuwa Yanga SC imerudi na kweli tumeona imerudi Kweli kusubiria kucheza Ligi ya Mchangani (Ligi Kuu)
Pili Klabu ya Yanga SC ilipokuwa ikienda nchini Nigeria kucheza mchezo wake wa Marudiano na Rivers United FC Haji Manara alituaminisha kuwa Yanga SC inaenda Kupindua Meza na Kusonga mbele na imekuwa tofauti kwa Kufurumushwa tena mapema tu CAF CL.
Tatu Msemaji huyu Mpuuzi wa Yanga SC baada ya kuona kila alifanyalo ni Nuksi tupu na halifanikiwi huko aliko na baada ya Kipigo akawa anakwepa Kuongea na Vyombo vya Habari leo kaja na Mkurupuko mwingine akidhani kuwa itaweza kumfanya aaminike na akubalike zaidi na wana Yanga SC.
Leo asubuhi katika Kurasa zake za Mitandao ya Kijamii Msemaji huyu Mpuuzi wa Yanga SC Haji Manara kwa Majigambo kabisa na Sifa nyingi za Kijinga aliwataka wana Yanga SC wote Kukaa tayari kwa Maamuzi ( anayodhani yataibeba Yanga SC yake ) ya CAS kuhusiana na Sakata la Mchezaji Bernard Morrison na Klabu ya Yanga SC.
Muda si mrefu Mahakama ya Usuluhishi wa Michezo duniani (CAS) imekuja na taarifa ( ambayo pia imeumbua ) Kiherehere cha Msemaji wa Yanga SC Mpuuzi Haji Manara kwa kusema kuwa imebadilisha tarehe ya Hukumu kutoka leo mpaka tarehe 26 Oktoba, 2021 hivyo Haji Manara aendelee na Mambo mengine kwani CAS haiendeshwi na Uswahili Uswahili alionao na aliouzoea.
Aden Rage aliwaambia katika Kesi hii Yanga SC hamna chenu, msipoteze Pesa na hata Shabiki wenu mkubwa Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Jakaya Kikwete nae aliwataka Kuachana nayo bado mkawapuuza sasa nadhani kwa Kalenda ( Dana Dana ) hizi za CAS mtajua kuwa hamna Chenu, mnapoteza muda na huenda hata huko CAS mnadharaulika mno kwa Ujuha wenu uliowakomaa.
Pili Klabu ya Yanga SC ilipokuwa ikienda nchini Nigeria kucheza mchezo wake wa Marudiano na Rivers United FC Haji Manara alituaminisha kuwa Yanga SC inaenda Kupindua Meza na Kusonga mbele na imekuwa tofauti kwa Kufurumushwa tena mapema tu CAF CL.
Tatu Msemaji huyu Mpuuzi wa Yanga SC baada ya kuona kila alifanyalo ni Nuksi tupu na halifanikiwi huko aliko na baada ya Kipigo akawa anakwepa Kuongea na Vyombo vya Habari leo kaja na Mkurupuko mwingine akidhani kuwa itaweza kumfanya aaminike na akubalike zaidi na wana Yanga SC.
Leo asubuhi katika Kurasa zake za Mitandao ya Kijamii Msemaji huyu Mpuuzi wa Yanga SC Haji Manara kwa Majigambo kabisa na Sifa nyingi za Kijinga aliwataka wana Yanga SC wote Kukaa tayari kwa Maamuzi ( anayodhani yataibeba Yanga SC yake ) ya CAS kuhusiana na Sakata la Mchezaji Bernard Morrison na Klabu ya Yanga SC.
Muda si mrefu Mahakama ya Usuluhishi wa Michezo duniani (CAS) imekuja na taarifa ( ambayo pia imeumbua ) Kiherehere cha Msemaji wa Yanga SC Mpuuzi Haji Manara kwa kusema kuwa imebadilisha tarehe ya Hukumu kutoka leo mpaka tarehe 26 Oktoba, 2021 hivyo Haji Manara aendelee na Mambo mengine kwani CAS haiendeshwi na Uswahili Uswahili alionao na aliouzoea.
Aden Rage aliwaambia katika Kesi hii Yanga SC hamna chenu, msipoteze Pesa na hata Shabiki wenu mkubwa Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Jakaya Kikwete nae aliwataka Kuachana nayo bado mkawapuuza sasa nadhani kwa Kalenda ( Dana Dana ) hizi za CAS mtajua kuwa hamna Chenu, mnapoteza muda na huenda hata huko CAS mnadharaulika mno kwa Ujuha wenu uliowakomaa.