Kutoka magazetini.
Majalada zaidi ya 300 ya kesi mbalimbali za ufisadi yametua kwenye ofisi ya DPP.
Matumaini yangu moja ya jalada litakuwa linahusu sakata la Richmond linalomhusisha Lowassa.
Kama kati ya majalada hayo 300 hakutakuwa na kesi inayomhusu Lowassa, basi wapiga filimbi wa Lumumba na mnyamaze kimya milele.
Je, kati ya hayo majalada unategemea kesi gani ya ufisadi mkubwa isikosekane.
Majalada zaidi ya 300 ya kesi mbalimbali za ufisadi yametua kwenye ofisi ya DPP.
Matumaini yangu moja ya jalada litakuwa linahusu sakata la Richmond linalomhusisha Lowassa.
Kama kati ya majalada hayo 300 hakutakuwa na kesi inayomhusu Lowassa, basi wapiga filimbi wa Lumumba na mnyamaze kimya milele.
Je, kati ya hayo majalada unategemea kesi gani ya ufisadi mkubwa isikosekane.