Mahakama ya The Hague == Kura yako ni muhimu. Piga Kura yako sasa

hahaha, Radhia sweet una kazi kweli leo, watu hawaelewi kabisa unachoongea. mzee, unasema Tanzania si sehemu ya international?...hahaha, hajamaanisha hivyo aisee, nilivyofahamu Radhia alikuwa anamaanisha kuwa, yapo makosa yanayodondokea kwenye international criminal law zile zinazopelekwa the hague, hayo ni manne tu na si mengine. nayo ni, crimes against humanity, genocide, war crime and crime of aggression. haya tu ndo yanashughulikiwa na icc. jua kuwa, kuna makosa mengine ya trans-national organised crimes kama vile vitendo vya piracy kwenye bahari ya hindi, mambo ya umafia marekani na italy (makundi ya mafias kama unawajua), ugaidi wa al quaeda etc, hizi ni international crimes as a matter of fact kwasababu zinatendeka kwenye nchi zaidi ya moja, lakini icc kwasababu ilikuwa selective ka makosa baadhi tu, wameachia makosa haya kuendeshwa na local courts.
Crimes against humanity, as defined by the Rome Statute of the International Criminal Court Explanatory Memorandum,[SUP][citation needed][/SUP] "are particularly odious offenses in that they constitute a serious attack on human dignity or grave humiliation or a degradation of one or more human beings.
sijui sijaelewa hicho kizungu!
 
Crimes against humanity, as defined by the Rome Statute of the International Criminal Court Explanatory Memorandum,[SUP][citation needed][/SUP] "are particularly odious offenses in that they constitute a serious attack on human dignity or grave humiliation or a degradation of one or more human beings.
sijui sijaelewa hicho kizungu!
the right definition of the offence, usichukue kwenye hizo wikipedia au web zingien ambazo kila mtu tu anaandika hata wasio wanasheria, utaipata kwenye icc statute yenyewe. kuna matendo fulani yameorodheshwa pale Article 7, kama yamefanywa in the course of widespread or systematic attack against civilian population ndio it amounts to the offence.
 
thank you, ila kuna siku utajua kuwa mimi pia nilikuwa upande wako na nilikuwa sipendi mpoteze muda kujadili jambo ambali halitawafikisha popote....nimespesholize kwenye hili na niliuwa natoa elimu ya bure. toa point zako basi utakazosimama nazo, na ziwe za kisheria ili tuone nini unachoenda kukifanya ili ufanikishe wazo hili...tuache siasa.

Professionally iam not a lawayer ila mtu yeyote anayetetea mauaji na uovu mwingine wowote kwa kutuingizia vipengele vya sheria huwa simuelewi na sitaki kusikia comment zake , ndio maana hata mm sijazungumzia suala la the Hague naujua sana mkataba wa Rome ulioanzisha mahakama ya the Hague ila concern yangu kubwa ni kuwa mahakama zetu za Tanzania au East Africa au Africa zinatosha kuwahukumu hawa wauaji! ila akifa hata mtu mmoja sio swala la kubeza!
 
kitu kikubwa ambacho nashindwa kuelewa ni kwamba, watu wanaamini kuwa mimi, radhia sweet na wengine tunapoongelea jinsi sheria itakavyokuwa, tunatetea wauaji. mimi ni mmoja wa watu waliochukizwa sana na kitendo hicho....lakini najua hili la juzi haliwezi kupelekwa the hague, kama mnafikiri linawezekana basi pelekeni. au niweke kwa maana hii....Nchimbi ameshaunda tume, mtu mmoja amekufa, mens rea ya wauaji hakukuwa kufanya widespread and systematic attack against a civilian population,hiii ilikuwa against an individual person tana baada ya majibizano fulani na mkuu mmoja wa polisi pale kwenye eneo...nchi yetu inao uwezo kuendesha hii kesi na wameshaanza kulishugulikia, sasa icc itapitia wapi? basi, can you say polisi walikuwa wanaattack a civilian population hapa au walikuwa wanatuliza mkutano na kufukuza watu ndo wakamshambulia individual person?...kama labda tuseme nia ya ilikuwa kushambulia raia kwa shambulizi lililoeneo sehemu kubwa au kama kitu hicho kilifanyika kwa mpangilio mahsusi na si kutu cha kuamriwa palepale na RPC (kitu ambacho bado hatuna ushahidi hadi sasaivi), tungesema vingine......widespread or systematic attack against civilian population ina maanisha nini?kumshambulia mtu mmoja na kuondoka?..hii utalinganisha na Gadafi alipokuwa anashambulia raia kwa ndege za kivita? utalinganisha na mauaji yale ya watu wa pemba? utalinganisha na mauaji yale kule merikani south africa?
huu utumbo kasimulie kwenye vikao vya kahawa au baa, mimi kwangu hata mimba ikitolewa nahesabu ni mauaji ya kupangilia na muuaji lazima afikishwe kwenye sheria iwe hague au kisutu I never mind!ila siku zote usitumue mianya ya sheria kulinda uovu Radhia sweet na wewe mnalinda uovu kwa kutumia mianya ya sheria you are evils!!
 
Professionally iam not a lawayer ila mtu yeyote anayetetea mauaji na uovu mwingine wowote kwa kutuingizia vipengele vya sheria huwa simuelewi na sitaki kusikia comment zake , ndio maana hata mm sijazungumzia suala la the Hague naujua sana mkataba wa Rome ulioanzisha mahakama ya the Hague ila concern yangu kubwa ni kuwa mahakama zetu za Tanzania au East Africa au Africa zinatosha kuwahukumu hawa wauaji! ila akifa hata mtu mmoja sio swala la kubeza!
sasa hapo umeongea nini, manake unasema wewwe sio mwanasheria, that means hujui kitu, hata ukisoma icc statute kama wewe sio mwanasheria huwezi kutafsiri sheria bado hivyo huwezi kuielewa hadi ueleweshwe na wanasheria. ni ajabu kuona kuwa watu wanaamini kuwa mimi natetea mauaji, nafikiri wakati mwingine tunakuwa tunakosa kuwa na akili ya kuelewa, yaani inahitajika muda mrefu sana kumfanya mtu aelewe kitu. the point is that, sio tu kwamba mahakama za kwetu zinatosha, ni kwamba the hague haiwezi kuipokea kesi ya aina hii kutokana na mazingira yalivyotokea, makosa yale manne pale the hague yanashikiki na yaliyotokea tz hapa. sasa kama wanaoelewa wanakuelewesha halafu huelewi unaamini kuwa wanatetea wauaji, tuwasaidiaje sasa jamani watu wa aina hii?...you know, ukiwa hujui kitu usijifanye unajua, utakaa hujui milele...hujui kabisa how things work at the icc kutokana na ulivyojieleza hivyo nakushauri ukae chini ueleweshwe, ushauri tu lakini.
 
Quality endelea na process ya kutafuta sign tutakwenda kurudishiwa uko huko the Hague wasitake kututisha bora kujaribu kuliko kukaa tu kama kuku wa kuchorwa awiki,adonowi, atagi, LETE NIKUPE KURA YANGU.
 
sasa hapo umeongea nini, manake unasema wewwe sio mwanasheria, that means hujui kitu, hata ukisoma icc statute kama wewe sio mwanasheria huwezi kutafsiri sheria bado hivyo huwezi kuielewa hadi ueleweshwe na wanasheria. ni ajabu kuona kuwa watu wanaamini kuwa mimi natetea mauaji, nafikiri wakati mwingine tunakuwa tunakosa kuwa na akili ya kuelewa, yaani inahitajika muda mrefu sana kumfanya mtu aelewe kitu. the point is that, sio tu kwamba mahakama za kwetu zinatosha, ni kwamba the hague haiwezi kuipokea kesi ya aina hii kutokana na mazingira yalivyotokea, makosa yale manne pale the hague yanashikiki na yaliyotokea tz hapa. sasa kama wanaoelewa wanakuelewesha halafu huelewi unaamini kuwa wanatetea wauaji, tuwasaidiaje sasa jamani watu wa aina hii?...you know, ukiwa hujui kitu usijifanye unajua, utakaa hujui milele...hujui kabisa how things work at the icc kutokana na ulivyojieleza hivyo nakushauri ukae chini ueleweshwe, ushauri tu lakini.
Nielewe nimekuambia professinally sio lawyer ila sio kwamba sijui sheria! and sijakuomba unisaidie chochote kuhusu sheria you dont know anything about ICC STATUTE! unapretend unafahamu lakini hujui! anyway sitaki kubishana na wewe ila usitetee maovu kwa kutumia mianya ya sheria that i my message to you!
 
huu utumbo kasimulie kwenye vikao vya kahawa au baa, mimi kwangu hata mimba ikitolewa nahesabu ni mauaji ya kupangilia na muuaji lazima afikishwe kwenye sheria iwe hague au kisutu I never mind!ila siku zote usitumue mianya ya sheria kulinda uovu Radhia sweet na wewe mnalinda uovu kwa kutumia mianya ya sheria you are evils!!
bro, or sister whatever, what we are discussing here is referring the matter to the icc kule the hague, sio kupeleka kesi hizi kwenye local courts...ukiangalia kwenye post zangu zote utakuta nimesema kuwa, kutokana na mazingira ya kesi, haiwezekani sisi kama raia au hata NGO kwenda the hague kuwashitaki hawa watu, kuna utaratibu wake. pia nimesema kuwa kesi yenyewe haijafikia vigezo vya kuendeshwa the hague, sisemi hivi kwasababu sipendi iende kule, mimi kama ingekuwa mamlaka yangu tu ningependa kesi hii iende the hague, lakini sheria inayoendesha the hague hairuhusu hivyo, kwa maana hiyo, nimesema tangu mwanzo kuwa, jambo hili nchi zetu yaani state parties wameachiwa kuendesha kwa local courts yaani mtu apelekwe kwenye mahakama za hapahapa tz. so if you don't mind whether one is sent to the hague au kisutu, nini unachoongea sasa, what's your point? kuna mtu amepinga kwamba hawa watu hawatakiwi kupelekwa kwenye mahakama za hapa tz? hapa tulikuwa tunajadili whether hizo signature ambazo mtoa mada ameomba zitasaidia watu kuepelekwa the hague au la......hebu sema, wapi hapo tumelinda uovu? kivipi?...nahisi humu ndani tunatofautiana sana uelewa, age na elimu...so ni muhimu tukiwa tunawavumilia watu kama wewe, tutawaelewesha tu hadi mtaelewa.....sote tunapinga yaliyotokea kule iringa na popote pale tz, lakini tulichokuwa tunajadili hapa ni whether tutaweza kufanikiwa kupeleka watu the hague, sio kulind auovu? prove what you have just said!
 
Nielewe nimekuambia professinally sio lawyer ila sio kwamba sijui sheria! and sijakuomba unisaidie chochote kuhusu sheria you dont know anything about ICC STATUTE! unapretend unafahamu lakini hujui! anyway sitaki kubishana na wewe ila usitetee maovu kwa kutumia mianya ya sheria that i my message to you!
what? sijui chochote kuhusu icc statute?, kwa taarifa yako nimesoma masters ya international criminal law hukohuko ulaya, na nimefanya internship the hague (ICC palepale), najua kabisa ninachoongea, you are not a lawyer and you do not know law. onyesha wapi nimetetea maovu? just be fair kama wwewe ni mtu mzima mwenye akili timamu kabisa, onyesha kwenye comment zangu zote wapi nimetetea mauaji ya Daudi?....au uovu wowote...show it. kama hautaonyesha that will prove that you are too dumb to understand facts.
 
what? sijui chochote kuhusu icc statute?, kwa taarifa yako nimesoma masters ya international criminal law hukohuko ulaya, na nimefanya internship the hague (ICC palepale), najua kabisa ninachoongea, you are not a lawyer and you do not know law. onyesha wapi nimetetea maovu? just be fair kama wwewe ni mtu mzima mwenye akili timamu kabisa, onyesha kwenye comment zangu zote wapi nimetetea mauaji ya Daudi?....au uovu wowote...show it. kama hautaonyesha that will prove that you are too dumb to understand facts.
shule hizi za kata zina mambo!aliyesoma hajitavaraguzi kama wewe!!anyway hongera kwa kufanya kazi the Hague! ila inawezekana umesoma ila hujaelimika!!!
 
shule hizi za kata zina mambo!aliyesoma hajitavaraguzi kama wewe!!anyway hongera kwa kufanya kazi the Hague! ila inawezekana umesoma ila hujaelimika!!!
sijaelimika kivipi mzee, nimeweka the icc statute hapo, soma article seven uonge jinsi crimes against humanity inavyofanya kazi.....asante kwa yote uliyoongea, ila kiukweli, sote tumechukizwa na kilichofanywa na polisi, ila uwezekano wa kesi hii kwenda the icc haupo, ...cha muhimu ni kesi hii iendeshwe hapahapa, na ajabu yake ni kwamba kama selikali ina mkono wake paho, hakuna haki itakayotendeka. cha muhimu sana kwetu kufanya kama watz, ni kufanya maandamano ya amani ili dunia ijue labda hapo ndo Fatou atasikia au nchi zingine zitasikia na the matter might be referred to the icc....kama vigezo vitafikiwa....ni hayo tu mzee tusibishane sana tusijeonekana wote tuko kama wewe.
 
The Hague hawana muda wa kusikiliza vikesi vyenu vidogovidogo wewe. Wale wanadeal na international criminal cases. Watu wengine bwana.
Kuna mauaji madogo madogo? Nini maana ya 'international criminal cases'? Ungekuwa mzungu ungeitwa dumb blonde.
 
nashukuru umemjibu vizuri, kwa kifupi ni kwamba, the hague inashughulikia serious crimes of international concern. what are these so called "serious crimes of international concerns?

  1. genocide, mfano wa yale ya Rwanda
  2. crimes against humanity...mfano pale mauaji ya halaiki yanapotokea kwa raia (wide spread and systematic attack against civilian population)
  3. war crimes, hii inatokea kwenye maeneo ya vita, na tz hatuko vitani hapa
  4. crime of aggression,,,hili nikosa la nchi kuvamia nyingine na bado halijaanza kufanya kazi hadi mwaka 2017 pamoja na kwamba kwenye icc statute lipo.
hayo hapo juu tu ndo yanashughulikiwa na icc. kati ya hayo hapo juu, kosa pekee ambalo lingewakamata wauaji hawa wa tz ni crimes agaist humanity ambalo nalo huwa linatakiwa yatokee mauaji widespread au systematic, ikijumuisha substantial number of people killed, mauaji ya mtu mmojammoja tu haya huwa yanaangukia kwenye murder za kawaida kwenye court za kwetu hapa. hivyo katu icc hawawezi kutua bongo.

vile vile, only the followings can cause the case to comment at the icc.
  1. state party, yaani nchi iliyotia saini, mfano kama mauaji yametokea tz kenya au uganda ikapeleka suala hili icc to move the court to commence investigation etc.
  2. referral by the security council of the UN, kikao cha nchu maalumu fulani hivi zenye viti vya ulinzi pale umoja wa mataifa.
  3. the prosecutor's own move, yaani pale prosecutor( Fatou au zamani alikuwa ocampo) anapoamua yeye mwenyewe kuanzisha investigation.
vitu hivyo vitatu tu ndo vinaweza kusogelea icc kufanya watu wachunguzwe na kushitakiwa. hakuna individual person, lets say Hellen kijo bisimba, wewe mtoa mada, kikundi chochote cha watu, NGO yeyote etc yenye nafasi ya kupeleka jambo icc.

kwa kifupi ni kwamba, mauaji pekee ambayo yangeweza kuwatia viongozi wa tz icc ni yale ya zenji kipindi kile, ila hizi murder za arusha na hii ya daudi, haijafikia kiwango au hadhi ya kupokelewa na icc. hata hivyo, huwa wanasubiri muda mrefu kidogo hadi watie timu, si haraka hivi...
Hiyo ni tafsiri yako finyu. Hili state party, UN Security Council au Prosecutor waweze kuanzisha uchunguzi/kesi nao wanahitaji taarifa ya matukio kwanza. Mwanzisha mada kuwaandikia ICC inaweza kuwa mwanzo wa kuwapa taarifa za kinachoendelea TZ na wakanza uchunguzi na hatimaye waka-move court kama ulivyosema.
 
Hiyo ni tafsiri yako finyu. Hili state party, UN Security Council au Prosecutor waweze kuanzisha uchunguzi/kesi nao wanahitaji taarifa ya matukio kwanza. Mwanzisha mada kuwaandikia ICC inaweza kuwa mwanzo wa kuwapa taarifa za kinachoendelea TZ na wakanza uchunguzi na hatimaye waka-move court kama ulivyosema.
ok, go on bro na tafsiri ya kwako pana. nakutakia yote mema.
 
Kuna mauaji madogo madogo? Nini maana ya 'international criminal cases'? Ungekuwa mzungu ungeitwa dumb blonde.
nafikiri alichomaanisha hao, mauaji madogomadogo haya, icc imepunguza mzigo kwa kuziachia state party (countries signatory to the Rome statute) ili ziendeshe kesi za mauaji haya zenyewe kama ordinary homicide za kawaida tu, na ukweli ndio huo...international criminal cases zipo nyingi, lakini zilizochaguliwa kuwa prosecuted by the icc ni nne tu nazo ni crimes against humanity, genocide, war crime and the crime of aggression. usimwonee radhia sweety.
 
hivi kati ya huyu jamaa na wewe nani alisoma shule ya kata? jamaa anaongea kwa point za sheria, wewe unaongea kwa point za shule za kata...hahahaha. watz ndo maana wakati mwingine tunadharauliwa kwasababu tunakuwa wagumu sana kuelewa.

kiherehere cha nini? wewe ndio hujui a e i o u ya sheria na huwa si argue na nincompoop kama wewe!!
 
kiherehere cha nini? wewe ndio hujui a e i o u ya sheria na huwa si argue na nincompoop kama wewe!!
sheria ipi mzee unayoongelea, manake hadi unachekesha, au na wewe ndo hao makanjanja waandishi wa habari wanaofanya kazi kwa hisia na si elimu kumkichwa?....nimecheki post zako zote hakuna hata sheria moja umeongelea...kama wewe mwanaume ongelea point yeyote ya sheria uweke na vifungu hapo ndo tutajua kweli una kidude cha kiume, kama utashindwa kufanya hivyo basi hata kama una kidude cha kiume tutaamini kuwa wewe umeshapoteza ring muda mrefu...pole.
 
HADI HIVI SASA RAIS KIKWETE NA GREENGUARD PAMOJA NA POLICCM WANAZO KESI ZA KUJIBU - KITENGO CHA HAKI ZA BINADAMU CHADEMA TUNAOMBA RIPOTI YA MAUAJI YOTE INAYOTENGENEZWA NA SERIKALI IPELEKWE THE HAGUE

Kumbe JF kuna vichwa hivi!!

Wakuu nadhani wengi hawajamwelewa vizuri huyu ndugu yetu. Anachosema ni kwamba MALALAMIKO TU HAYASAIDII KITU bali ni kwamba watu twende mbele zaidi kisheria katika mahakama ya kimataifa.

Na wengine huku tuko kwenye hatua nyingine muhimu zaidi kuhakikisha haya mauaji yanatokomeshwa na ikulu mara moja bila kubembelezwa kitu.


Naomba IT watutengenezee "voting forum kama hii... https://secure.avaaz.org/en/save_the_maasai_a/?afASrdb" ili watanzania wote wapenda amani duniani tupige kura kuhimiza kesi hii kufunguliwa ili JK na makamanda wake wote waweze kukutana na mkono wa sheria.
Mod usichanganye thread hii ni muhimu sana ikae peke yake

Quality

Kama itakubalika au la, leo nimefanya mambo mawili:-

  1. Nimemtafuta IT na kumpa assignment ya kutengeneza forum for voting. we need atleast 1,000,000 votes. Ikikamilikaa nitawaleteeni
  2. Nimemwandikia "Senior Associate & Coordinator, Criminal Justice Program" wa ICC ili atupatie utaratibu na ushauri.

Inasikitisha kuona baadhi ya watanzania wakitaka tufikie hatua ya kenya walivyouana baada ya uchaguzi ndiyo au Rwanda tuchukue hatua. Hao hawafaai kwa lolote. Mungu amlaani anayefurahia kifo cha asiye na hatia
 
Back
Top Bottom