Mahakama ya The Hague == Kura yako ni muhimu. Piga Kura yako sasa

Mkuu Ritz,
Si Dr. Slaa itabidi aunganishwe kwenye mashtaka? ICC haiangalii walioua hata wachochezi wa upande wa pili wanaunganishwa. Kauli ya liwalo na liwe ni kubwa sana na ndiyo iliyo wahamasisha makamanda kutotii amri halali ya polisi na aliyetoa gharama za kusafirisha makamanda kutoka Iringa na Mbeya na pia anahusika.

Chama
Gongo la mboto DSM

Kweli Mkuu chama,

Inabidi wafanye kama Kenya naye apelekwe The Hague.
 
Last edited by a moderator:
  1. the prosecutor's own move, yaani pale prosecutor( Fatou au zamani alikuwa ocampo) anapoamua yeye mwenyewe kuanzisha investigation.

Prosecutor's own move can be initiated by request from any party, individuals or organisation with evidence that a crime have been committed. Petition therefore is one way of accumulating evidence that a crime had been committed in Tanzania and is a State that is involved which makes it impossible to prosecute internally.

  1. Those with evidence prepare yourselves
  2. Lawyers prepare a case
  3. Please sign a petition
Do not be scared by the guilty party. They are afraid of the consequences of this brave move. Even if we do not succeed in bringing the perpetrators to justice, the world will be alerted to the Tanzanian case that is moving towards Syria trend.
 
Prosecutor's own move can be initiated by request from any party, individuals or organisation with evidence that a crime have been committed. Petition therefore is one way of accumulating evidence that a crime had been committed in Tanzania and is a State that is involved which makes it impossible to prosecute internally.

  1. Those with evidence prepare yourselves
  2. Lawyers prepare a case
  3. Please sign a petition
Do not be scared by the guilty party. They are afraid of the consequences of this brave move. Even if we do not succeed in bringing the perpetrators to justice, the world will be alerted to the Tanzanian case that is moving towards Syria trend.

Kajifunze kiingereza wewe. Watu wengine bwana.
 
Watu wasifanye wanajua kuchambua sheria,tunataka mahakama ya icc ipate notes of infomation kwani mbegu moja huzaa mazao,kama jaji wetu wa mahakama kuu hapa bongo ni mteule wa mkuu wa kaya anaona uonevu na hasemi kitu,ni heri icc japo itoe warning kwa wavunjaji wa haki za binadamu wa TZ.POLISI WAMEUA RAIA WASIO NA HATIA ZAIDI YA 70 HAPA NCHINI KWA UJUMLA WAO,JE TUNATAKA WAFE WANGAPI ILI TUITE NI CRIME?TANZANIA POLICE ARE 'PEOPLE OF MABWE PANDE INVESTIGATING CHADEMA IN TANZANIA[POMICT]NOT PEOPLE OF LANCUSHIRE INVESTIGATING CRIMINALS IN ENGLAND[POLICE]'.KWA HIYO WANABODI TUENEZE JINA LA HAWA JAMAA WAITWE 'POMICT' NA SI 'POLICE'.MPAKA 2015 TUTAKAPO UNDA UPYA CHOMBO CHA USALAMA WA RAIA,JE MNAONAJE?

www.uharo.com/ukilaza-uliopitiliza/
 
Thread hii imeshambuliwa vikali na au ndugu wa wauaji,au wauaji wenyewe au wachawi wapenda watu wafe! Ivi ulishaona wapi mtu anakwenda mahakamani akiwa na hukumu tayari ya kushinda au kushindwa kesi! Akina na razia sweet wameshaconclude kuwa kesi haikidhi viwango kwenda Icc. Ivo wanawaencourage wenzao ili waendelee kutuua watanzania ila waue mmoja mmoja isifike idade ya kupeleka icc,nyamongo waliuawa wangapi?arusha wangapi?igunga wangapi?mtwara wangapi?mbeya wangapi?mabwepande wafanyabiashara wangap?tarime wangapi?morogoro?sasa iringa!unataka muue wangapi ili muonekane mmeua!?kinachotakiwa si kupeleka kesi ya kushinda ila ni kupeleka ujumbe kimataifa kuwa tz kuna mashetani wala watu,hapo ndo kila mtakapopita mnuke vibaya. Mashetani wakubwa wauaji!
 
Mkuu Mwana wa Mungu umetoa maelezo ya kutosha. Kuna vilaza humu ndani huwa wanakurupuka tu na kufungua thread ambazo hata haziendani na uhalisia. Watu wengine bwana.
In every Rule,
There should be exceptions .
Twendeni tu The Hague ili tutiane adabu
 
Radhia whether ni ICC au popote pale issue hapa ni kwamba maisha ya watu yamepotea and something should be done kuondokana na kile Mwanakijiji anaita ''trigger happy policemen''. Period!

How many people should die so that we take steps?????
 
Prosecutor's own move can be initiated by request from any party, individuals or organisation with evidence that a crime have been committed. Petition therefore is one way of accumulating evidence that a crime had been committed in Tanzania and is a State that is involved which makes it impossible to prosecute internally.

  1. Those with evidence prepare yourselves
  2. Lawyers prepare a case
  3. Please sign a petition
Do not be scared by the guilty party. They are afraid of the consequences of this brave move. Even if we do not succeed in bringing the perpetrators to justice, the world will be alerted to the Tanzanian case that is moving towards Syria trend.
heshima kwako mkuu,....kwa kifupi ni kwamba, hayo niliyoongea ndiyo yaliyopo kwenye Rome Statute of International criminal court, yaani ICC statute. hayo uliyoongea wewe ni siasa ambazo hata hawana muda wa kupoteza kusikiliza. kwa kifupi, hakuna hata tendo moja linaloweza kuamount kifo cha Daudi, mateso ya ulimboka au yale ya arusha kupokelewa na ICC.

kumbuka kuwa, icc haipokei kila kosa, only those serious offences. understand the word serious offences of international concern. makosa ambayo dunia nzima iko concerned sana kuyafuta na ambayo yameingizwa pekee kwenye statute ni hayo manne tu. na katika ingredients za makosa hayo yote, hakuna hata moja linalokamata mambo yaliyotokea tz, ndo maana nilisema labda yale ya zenji kipindi kila icc haijawa in force. i am speaking from experience kwasababu nilishasoma international criminal law and prosecutions, na nilishafanya internship pale the hague.....mwaka mzima. kifupi ni kwamba, i am a specialist kwenye hayo mambo ya ocampo.

makosa haya hayafikii hadhi elements/ingredients of offences of crimes against humanity (pekee ambayo ingekuwepo hapa....widespread or systematic attack against civilian population), genocide haipo kabisa(yenye mens rea of termination of a particular group of people), war crime ambayo inaapply to kwenye maeneo ya vita na tz hatuko vitani na crime of aggression ambayo haitaanza kufanya kazi.

kwa kifupi, makosa haya yamechaguliwa kuwa ni serious crimes of international concern kwasababu waliona kuna viongozi serikalini au yeyote mwenye power fulani kuvurumisha marisasi, mabom au mateso fulani kwa substantial number of people sio watu wachache tu hawa, huwa kuna reasonable number of people fulani kumeet makosa haya.

zaidi ya yote, icc huwa inaweza kutia timu either kwa prosecutor mwenyewe kuona yaliyotokea akaridhika kuwa yanatakiwa yafanyiwe investigation etc, lakini an individual cannot move the prosecutor kwasababu where are you going to get him, ukienda pale the hague utasema unaenda kufanya nini wakati wale wanaotakiwa kurefer the matter pale wameelezwa kwenye sheria? hakuna shortcut pale.

icc itatia timu kama hakuna reasonable step yeyote iliyochukuliwa na nchi husika kuadhibu au kushughulikia hilo tatizo...sasa kwa hapa, unaona nchimbi ameshaanza kuchukua hatua kwa kuunda tume, hapo si kwamba ana nia sana ya kufanikisha hiyo tume bali wanatafuta grounds za kuescape kuonekana hawajachukua hatua yeyote. labda kama hatua hizo zitakuwa zimechukuliwa kama sharm au shield kumlinda mhalifu ndo icc inatia timu. lakini hata hivyo kwa haya yaliyotokea, hayafikii kiwango kwenda icc.

HATA HIVYO, NAKUPONGEZA kwa kutoa awareness ili pengine, si kwamba individuals watapeleka shauri hili the hague, bali ocampo/fatou pengine atasikia toka kwenye vyombo vya habari kwamba watz wamefanya hivyo naye akawa interested, au pengine ataona kwenye jamii forums, kwenye mitandao fulani etc, lakini kwa kifupi ni kwamba, individuals hawawezi kupeleka suala pale...jua hilo kuanzia leo. ubarikiwe.
 
Naomba IT watutengenezee "voting forum kama hii... https://secure.avaaz.org/en/save_the_maasai_a/?afASrdb" ili watanzania wote wapenda amani duniani tupige kura kuhimiza kesi hii kufunguliwa ili JK na makamanda wake wote waweze kukutana na mkono wa sheria.
Mod usichanganye thread hii ni muhimu sana ikae peke yake

Quality


Hii Kesi ya kuwapeleka Mahakama za Kimataifa, The Hague imecheleweshwa saaana! Ilitakiwa ipelekwe toka miaka karibia minne iliyopita. Jeshi la Polisi chini ya Kikwete limefanya mauaji ya raia kwa kubambikiza na kutumia siasa na utekaji nyara, na hakuna kilichofanyika kuonyesha uhai huu wa watanzania ulivyodhulumiwa na kupotezwa;
  • Mauaji ya Mabwe-pande (Kamanda Zombe na genge lake)
  • Mauaji ya Wananchi-Mbeya
  • Mauaji ktk machimbo ya Tanzanite
  • Mauaji ya Arusha
  • Mauaji ya Songea
  • Kutekwa kwa wanaharakati na pia Dr Ulimboka
  • Mauaji ya Morogoro
  • Mauaji ya Iringa
  • NA MENGINEYO.. WANA-JF nafasi chini ya kuongezea
  • ----
  • ----
  • -----
  • ----
Hay na mengineyo mengi, taifa linahitaji kuponywa majeraha haya, na suluhisho ni KESI IPELEKWE ICC, The Hague tu! Finish!
 
Wewe hujaambiwa kuwa kifo cha mtu mmoja hakina uzito. Ulichoambiwa ni kuwa mahakama ya ICC haideal na kesi za mauaji ya watu wawili au watatu au wanne. Most of the time inatatua kesi za mauaji ya idadi kubwa ya watu ambayo yamekuwa triggered na issue za kisiasa au chuki za kikabila au kidini. Sasa unatoa mfano wa ooh mzungu kashtuka kusikia watu tisa oooh Israel walienda kuokoa mtu mmoja, halafu umeshindwa kutoa mfano wa kesi ya mauaji ya watu 9 iliyotatuliwa na ICC. Watu wengine bwana.
wewe unayejiita radhia sweet problem yako unajifanya kuwa you are very intelligent ndio maana huthamini maisha! sisi kwetu hata mimba ikitolewa ni mauaji na muuaji anatakiwa kufikishwa kwenye mahakama iwe the hague iwe kisutu but they must face charges! kwa nn huheshimu na kuthamini maisha? be sensible and stop abusing human life! you sound very stupid!!Angeuawa ndugu yako, mzazi, wako au mtoto wako how would you feel pale ambapo ungesikia mtu mpuuzi kama wewe akisema kifo cha mtu mmoja au wawili sio kitu sana??
 
''....substantial number of people''. How substantial is this substantial u talk about? Kwa watu weupe just an indvl inakuwa shida sasa sisi tusubiri mauaji ya kimbari?. I remember Israel went to war with Palestine just to rescue a single soldier. More than 30 people but it doesnt click in our heads? I believe ingekuwa kwa wenzetu wanaojua thamani ya maisha ya binadamu,this could be an issue! One of our former presidents being interviewed on Hard Talk BBC programme alisema mauaji ''...the number of the dead is not that high, just 9 people'' na watu wote duniani walishangaa. ''..just 9 people of lives lost haikumshtua huyu bwana mkubwa. Sasa ndio haya mambo ya kusema ''..a substantial number..''. Asee, au ndio kama signature ya mkuu mmoja hapa inasema 'miafrika ndivyo tulivyo' hatujali maisha yetu.
Aisee, siongei kwamba nimependa yaliyotokea, hapana, naongea vile sheria inavyosema. Angalia kesi zote zilizofanyika na ICC, ICTR (Rwanda Arusha), ICTY (former Yugoslavia), ile special Tribunal for Lebanon and Special tribunal for Siera Leon...utakuta kwenye makosa yote ya crimes against humanity watu wanaotakiwa kuwa wameuawa ni wengi sio wachache, wakiuawa wachache icc imewaachia nchi husika kutumia local courts.

ICC INGEPOKEA KILA KOSA LA MAUAJI HATA LA WATU WACHACHE WANGEKUWA NA KESI MAMIA YA MAMILIONI...na wangeshindwa kuendesha, sasa icc yenyewe imeweka limit ikachukuwa some special offences zenye uzito fulani tu...hivyo kwake icc, watu wachache wakifa wanaiachia nchi husika ifanye kazi kwenye mahakama zake, lakini kama watakuwa watu wengi (as a matter of fact), basi icc inatia timu.

Kosa la kumuua Daudi, kama wangekuwa wamekufa watu wengi kidogo, tayari jamaa wangeshatia timu na kosa ambalo wangeshitakiwa nalo ni crimes against humanity tu, na si yale mengine kwenye statute. please, kama unalaumu usinilaumu mimi, ilaumu icc statute, na pia kama hujui sheria waache waliosoma wakuelimishe tusiongee kwa hisia au siasa......pia usitoe mfano wa one of our former presidents kuwa alikuwa anaongea bbc, huyo president sio mwanasheria, nenda soma case laws yaani kesi ambazo tayari zilishaamuliwa, soma zote pamoja na kwamba zinakuwa na kurasa nyingi, utapata uelewa mzuri sana.
 
Mkuu Mwana wa Mungu umetoa maelezo ya kutosha. Kuna vilaza humu ndani huwa wanakurupuka tu na kufungua thread ambazo hata haziendani na uhalisia. Watu wengine bwana.
jamani matusi tena ya nini mtu alikuwa hajui mmemuelewesha tusi eti kilaza la nini tena wewe ni mtalaamu wa sheria yeye wa kitu kingine sio wote humu tunajua sheria mkuu kila mtu na fani yake amefungua alikuwa hajui yeye alidhani hivyo ndivyo inavyo fanyika mkuu.
 
Hii Kesi ya kuwapeleka Mahakama za Kimataifa, The Hague imecheleweshwa saaana! Ilitakiwa ipelekwe toka miaka karibia minne iliyopita. Jeshi la Polisi chini ya Kikwete limefanya mauaji ya raia kwa kubambikiza na kutumia siasa na utekaji nyara, na hakuna kilichofanyika kuonyesha uhai huu wa watanzania ulivyodhulumiwa na kupotezwa;
  • Mauaji ya Mabwe-pande (Kamanda Zombe na genge lake)
  • Mauaji ya Wananchi-Mbeya
  • Mauaji ktk machimbo ya Tanzanite
  • Mauaji ya Arusha
  • Mauaji ya Songea
  • Kutekwa kwa wanaharakati na pia Dr Ulimboka
  • Mauaji ya Morogoro
  • Mauaji ya Iringa
  • NA MENGINEYO.. WANA-JF nafasi chini ya kuongezea
  • ----
  • ----
  • -----
  • ----
Hay na mengineyo mengi, taifa linahitaji kuponywa majeraha haya, na suluhisho ni KESI IPELEKWE ICC, The Hague tu! Finish!
Unataka nani apeleke kule the hague mzee wakati wewe ukienda pale hautapokelewa na hakuna anayekujua?....pale wanaojulikana ni state parties (nchi ambazo ni signatory kwenye mkataba wa Roma tu)....na unataka nani akashitakiwe pale? kikwete? mwema? au mkuu wa polisi wa arusha na iringa? etc?...hayo yote yapo chini ya uwezo wetu.

Elewa kwamba, you don't need you as an individual to move the icc, hautapata nafasi hiyo....hata hivyo article 17 of the statute inatoa principle of complimentarity ambayo inatoa muda mrefu tu kwa nchi kushughulikia suala hilo kwa mahakama za ndani na kama nchi itakuwa haina uwezo au itakuwa imekataa kufanya hivyo basi icc inatia timu, sasa hapa utasema nchi haina uwezo? au imekataa kufanya hivyo?

Na number of people killed si kubwa kwa icc kutia timu, kama ingekuwa inatia timu kwa makosa yote basi wangekuwa na kesi mamia ya mamiliono...na yenyewe hela ya kuendesheea kesi haina sana, kuna nchi zingien huwa zinashindwa kuchangia...sina imani kuwa na nchi yako imeshachangia mchango wa mwaka pale...hahaha.
 
However, natoa onyo kwa serikali, ikiendelea kufanya mauaji haya, kuna siku watakuja kujikuta wamefikia kiwango hicho cha kwenda icc, because you never know what might happens sometimes...chukua mfano yale mauaji ya merikani kule south africa, ile ndio substantial number of people na hakika yake kama zuma hatachukua hatua yeyote kwa muda wa mwaka mmoja hivi,

ICC inaweza kutia timu, pamoja na kwamba kuna defence ya polisi pale, waandamanaji wengine niliona kwenye tv walikuwa na bastola kuwarushia polisi hivyo defence of self defence au ile ya kuwa both part were exchanging bullets inaweza kuwaponya polisi wa south...

Ila naamini zuma atawapeleka mahakamani na icc itaridhika na kunyamaza...ila mauaji ya mtu mmojammoja wawili watatu haya, icc imeziachia nchi husika kushughulikia.
 
Watu wasifanye wanajua kuchambua sheria,tunataka mahakama ya icc ipate notes of infomation kwani mbegu moja huzaa mazao,kama jaji wetu wa mahakama kuu hapa bongo ni mteule wa mkuu wa kaya anaona uonevu na hasemi kitu,ni heri icc japo itoe warning kwa wavunjaji wa haki za binadamu wa TZ.POLISI WAMEUA RAIA WASIO NA HATIA ZAIDI YA 70 HAPA NCHINI KWA UJUMLA WAO,JE TUNATAKA WAFE WANGAPI ILI TUITE NI CRIME?TANZANIA POLICE ARE 'PEOPLE OF MABWE PANDE INVESTIGATING CHADEMA IN TANZANIA[POMICT]NOT PEOPLE OF LANCUSHIRE INVESTIGATING CRIMINALS IN ENGLAND[POLICE]'.KWA HIYO WANABODI TUENEZE JINA LA HAWA JAMAA WAITWE 'POMICT' NA SI 'POLICE'.MPAKA 2015 TUTAKAPO UNDA UPYA CHOMBO CHA USALAMA WA RAIA,JE MNAONAJE?
mkuu, icc iliogopa kupokea kila kosa la mauaji au mateso, iliona itapokea mengi mno mamia ya mamilioni kwasababu hata hivi tunavyoongea kuna mauaji yanafanyika maeneo tofauti duniani. sio kwamba tunajifanya tunajua sheria, ni kwamba sisi ni wanasheria tumesoma sheria, tumesoma international criminal law and prosecutions, na tumeshafanya hapo icc internship (kwa upande wangu)...hivyo naongea ninachokijua, nilichofundishwa darasani, na nilichokiona kinafanyika. ukitaka madesa naweza kukutafutia....mauaji hayo yapo chini ya uwezo wa polisi na selikali imeyalaani kitu kinachoonyesha kuwa serikali ina moyo wa kuyachukulia hatua na ndicho icc inachohitaji kupunguziwa mzigo ndo maana hawapokei kila kosa hata ya watu wachache tu....tunaposema watu wachache tu usianze kukusanya kwamba mwaka ule walifanya hivi, juzi hivi, leo hivi...hahaha, hapana, ni mauaji ya mara moja au ya mfululizo kwenye tukio fulani......widespread and/or systematic attach against civilian population. utasema kuwa ile ya daudi walikuwa wanashambulia civilian population au individual person? mahakamani huwa hatuendi na siasa, ni point za sheria tu. mbona hawakutawanya mabom kwa watu wengine walimtageti yeye tu, hiyo ni murder tu ya kawaida ambayo tutatumia penal code za kwetu hapa bongo kuwashitaki.
 
wewe unayejiita radhia sweet problem yako unajifanya kuwa you are very intelligent ndio maana huthamini maisha! sisi kwetu hata mimba ikitolewa ni mauaji na muuaji anatakiwa kufikishwa kwenye mahakama iwe the hague iwe kisutu but they must face charges! kwa nn huheshimu na kuthamini maisha? be sensible and stop abusing human life! you sound very stupid!!Angeuawa ndugu yako, mzazi, wako au mtoto wako how would you feel pale ambapo ungesikia mtu mpuuzi kama wewe akisema kifo cha mtu mmoja au wawili sio kitu sana??
unajua kuna tofauti sana ya haya masomo tunayosomea, ukikutana na mtu wa sociology na yule wa sheria watakavyoargue ni tofauti kabisa, au yule wa political science au engineering wakijaribu kujadili suala la kisheria, utaona wazi kuwa huwezi kuwa unaelewa kitu kama hujakisomea. hapa jamaa anamlaumu Radhia sweet utafikiri Radhia sweet anapenda mauaji kumbe yeye alikuwa anaongea jinsi sheria ilivyo...hapa mzee hatushabikii mauaji wala sio kwamba hatuna huruma na waliouawa, tunaongea nini sheria inasema ili watu wasijisumbue,....mbona nchi yetu itaaibika kama vile hapa hamna wanasheria wa kimataifa waliowashauri watu watakaoenda kule the hague kufungua kesi...hahaha.
 
Back
Top Bottom