Majaji wanatamka mtu aliyetenda makosa makubwa?
Majaji wanajua vipi pasi na shaka mtuhumiwa wa makosa makubwa kweli ametenda kosa bila huyo mtuhumiwa kufikishwa mahakamani na kisha kupatikana na hatia kupitia mchakato wa kesi kusikilizwa na kuhukumiwa kuwa alitenda kosa kubwa analotuhumiwa nalo !
Majaji wanajua vipi pasi na shaka mtuhumiwa wa makosa makubwa kweli ametenda kosa bila huyo mtuhumiwa kufikishwa mahakamani na kisha kupatikana na hatia kupitia mchakato wa kesi kusikilizwa na kuhukumiwa kuwa alitenda kosa kubwa analotuhumiwa nalo !