Mahakama ya Rufaa itasikiliza rufaa ya dhamana ya Mbunge wa Arusha Mjini Mhe.Godbless Lema kesho.

Francis12

JF-Expert Member
Sep 30, 2016
7,533
22,276
TAARIFA-CHADEMA KANDA YA KASKAZINI 26.02.2017

Arusha;Mahakama ya Rufaa itasikiliza rufaa ya dhamana ya Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini Mhe.Godbless Jonathan Lema siku ya kesho tarehe 27.02.2017.
Rufaa hiyo itasikilizwa saa 8:00 Asubuhi katika jengo la Mahakama kuu na jopo la Majaji watatu wa Mahakama ya Rufaa,Majaji hao watakaosikiliza rufaa hiyo ni Mhe.Luanda,Mhe.Mugasha na Mhe.Mussa Kipenka.
tmp_28305-FB_IMG_1488123855705-1695729685.jpg
 
Wewe ukiwa Kama nani? Siku hizi kazi ya day waka umeacha?
Iyoo kazi ulinipa wewe ukiwa na mkeo ama unajipendekeza....
Usije ukawa marafiki zakeeee Wema Sepetu alio wafukuza kwenye nyumba yake(mashoga)
Mambo ya msingi ya jadiliwe kwa hoja
 
Miezi yote hiyo bado anahangaikia dhamana na chama chake kilivyo na mawakili wasomi wenye kujipa kila aina ya sifa.
 
Wewe Ndio unawajua mashoga wenzie kumbe mmefukuzwa? Poleni mashoga

Sent from my Lenovo A2010-a using JamiiForums mobile app
Sina nia ya personal attack,ila ni vyema kujadili hoja kwa hoja...,lema akipata dhamana kwani utapungukiwa na nini...,
Spika wa bunge alitoa mwongozo kuwa wabunge wasikamatwe pasipo yeye kutaarifiwa,mhimili huu hueshimike,je kwa kuwaheshimu wa bunge na kuwapa uhuru,unaona kutakuathiri wewe....
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom