Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,500
- 9,279
Mahakama ya Mwanzo Ukonga leo imekataa ombi la Mkuu wa Wilaya ya Chemba, Simon Odunga kumtaliki mkewe, Ruth Osoro aliyefunga naye ndoa Serikalini Februari 21, 2010 na kupata cheti cha ndoa B no 0979341
Katika kesi hiyo, Odunga ambaye ni mdai alitoa ushahidi mwenyewe huku mkewe akitoa ushahidi wake na mashahidi wawili akiwepo dada yake na mke mwenza wa ndoa ya Kikristo na Odunga
Odunga alilalamikiwa na mkewe Ruth kwa kutokutoa mafunzo ya mtoto wao wa kiume (4) kwa kipindi cha miaka mitatu
Licha ya malalamiko hayo Ruth aliomba Mahakama isivunje ndoa yake kwa kuwa bado anampenda mume wake huku Odunga akitaka ndoa ivunjwe na apewe ridhaa ya kumlea mtoto huyo
Katika kesi hiyo, Odunga ambaye ni mdai alitoa ushahidi mwenyewe huku mkewe akitoa ushahidi wake na mashahidi wawili akiwepo dada yake na mke mwenza wa ndoa ya Kikristo na Odunga
Odunga alilalamikiwa na mkewe Ruth kwa kutokutoa mafunzo ya mtoto wao wa kiume (4) kwa kipindi cha miaka mitatu
Licha ya malalamiko hayo Ruth aliomba Mahakama isivunje ndoa yake kwa kuwa bado anampenda mume wake huku Odunga akitaka ndoa ivunjwe na apewe ridhaa ya kumlea mtoto huyo