R.B
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 6,296
- 2,573
Hali si swari baada mheshimiwa magufuri kutangaza waziwazi ; kufungua mahakama ya mafisadi haraka iwezekavyo ili wafungwe
na hii ikielekeza moja kwa moja kwa kashfa ya richmond na escrow - ambayo watu waitwao mafisadi wamekwapua pesa za umma;
kutokana na taaruki hiyo watu wameaanza kutupiana mpira
kuhusu richmond;
rais jk kasema muusika anatembea na lissu
lissu kasema ni uzembe wa jk
kubenei - kuna report mbili
slaa- muhusika ni lowasa
mwakyembe na sitta - muhusika ni lowassa
na hii ikielekeza moja kwa moja kwa kashfa ya richmond na escrow - ambayo watu waitwao mafisadi wamekwapua pesa za umma;
kutokana na taaruki hiyo watu wameaanza kutupiana mpira
kuhusu richmond;
rais jk kasema muusika anatembea na lissu
lissu kasema ni uzembe wa jk
kubenei - kuna report mbili
slaa- muhusika ni lowasa
mwakyembe na sitta - muhusika ni lowassa