Mahakama ya Mafisadi: Watuhumiwa wapo, mahakama ipo, sheria ipo, nini kinasubiriwa?

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Nov 25, 2010
6,135
17,800
Mahakama ya mafisadi haina sababu ya kutoanza. Vyote vinavyotakiwa vipo. Mahakama ipo na Majaji wake; sheria (kuu na kanuni) ipo, na watuhumiwa wapo (hasa wa Escrow).

Inapaswa kuanza mara moja. Majizi na mafisadi yakomeshwe. Tumeyachoka! Mahakama ya mafisadi ianze mara moja, hakuna haja wala hoja wa kujivutavuta juu ya hilo.

Tuanze na watuhumiwa wa Escrow na Richmond!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
 
Mahakama ya mafisadi haina sababu ya kutoanza. Vyote vinavyotakiwa vipo. Mahakama ipo na Majaji wake;sheria(kuu na kanuni) ipo,na watuhumiwa wapo (hasa wa Escrow).

Inapaswa kuanza mara moja. Majizi na mafisadi yakomeshwe. Tumeyachoka! Mahakama ya mafisadi ianze mara moja,hakuna haja wala hoja wa kujivutavuta juu ya hilo.

Tuanze na watuhumiwa wa Escrow na Richmond!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Eeeh mda uliosubiriwa umefika zilihesabika masiku,masaa ,dakika na sasa hivi sekunde nitoe rai kwa MWAKIEMBE na MNYIKA kupeleka ushaidi wa ufisadi wa LOWASA!!!
 
Mahakama ya mafisadi haina sababu ya kutoanza. Vyote vinavyotakiwa vipo. Mahakama ipo na Majaji wake;sheria(kuu na kanuni) ipo,na watuhumiwa wapo (hasa wa Escrow).

Inapaswa kuanza mara moja. Majizi na mafisadi yakomeshwe. Tumeyachoka! Mahakama ya mafisadi ianze mara moja,hakuna haja wala hoja wa kujivutavuta juu ya hilo.

Tuanze na watuhumiwa wa Escrow na Richmond!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Watuhumiwa hawapo
 
Mahakama ya mafisadi haina sababu ya kutoanza. Vyote vinavyotakiwa vipo. Mahakama ipo na Majaji wake;sheria(kuu na kanuni) ipo,na watuhumiwa wapo (hasa wa Escrow).

Inapaswa kuanza mara moja. Majizi na mafisadi yakomeshwe. Tumeyachoka! Mahakama ya mafisadi ianze mara moja,hakuna haja wala hoja wa kujivutavuta juu ya hilo.

Tuanze na watuhumiwa wa Escrow na Richmond!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam

chama kitakufa tukiwashitaki wa makosa ya nyuma, tunaanzia leo atakae kamatwa ndo atashitakiwa.

hapa kazi tu A.K.A Muniombe kwa mungu
 
Wanawaza Tumkamate nani tumuache nani?
tukimkamata huyu huyu nae atamtaja yule,yule nae atatutaja sisi"

Tukisema tumkamate yule nae atasema nilipewa maagizo na jakaya na ushahidi huu apa.

Hii mahakama inamitihani sana.
 
Mahakama ya mafisadi haina sababu ya kutoanza. Vyote vinavyotakiwa vipo. Mahakama ipo na Majaji wake; sheria (kuu na kanuni) ipo, na watuhumiwa wapo (hasa wa Escrow).

Inapaswa kuanza mara moja. Majizi na mafisadi yakomeshwe. Tumeyachoka! Mahakama ya mafisadi ianze mara moja, hakuna haja wala hoja wa kujivutavuta juu ya hilo.

Tuanze na watuhumiwa wa Escrow na Richmond!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Watakaopelekwa pale mtashangaa wenyewe, mtu amekula rushwa za elfu 50 laki ndo mtawaona hao wamabilioni hamtawaona.
 
Nadhani ni pande husika kushauriana kwanza. Inabidi kuwafuata watuhumiwa na kusikia maoni yao ili wasije 'wakaathirika'.
 
Mahakama ya mafisadi haina sababu ya kutoanza. Vyote vinavyotakiwa vipo. Mahakama ipo na Majaji wake; sheria (kuu na kanuni) ipo, na watuhumiwa wapo (hasa wa Escrow).

Inapaswa kuanza mara moja. Majizi na mafisadi yakomeshwe. Tumeyachoka! Mahakama ya mafisadi ianze mara moja, hakuna haja wala hoja wa kujivutavuta juu ya hilo.

Tuanze na watuhumiwa wa Escrow na Richmond!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Hapo sasa!!

Cha kujiuliza ilikuwaje Rais atangaze na kutuahidi Mahakama ya Mafidisadi kama hakukuwa na Mafisadi tayari!! Pia Rais alishatuaminisha kuwa nchi ina mafisadi na yeye akichaguliwa atawashughulikia.

Naona tumesubiri mpaka matumbo yanatuuma!!
 
Mahakama ya mafisadi haina sababu ya kutoanza. Vyote vinavyotakiwa vipo. Mahakama ipo na Majaji wake; sheria (kuu na kanuni) ipo, na watuhumiwa wapo (hasa wa Escrow).

Inapaswa kuanza mara moja. Majizi na mafisadi yakomeshwe. Tumeyachoka! Mahakama ya mafisadi ianze mara moja, hakuna haja wala hoja wa kujivutavuta juu ya hilo.

Tuanze na watuhumiwa wa Escrow na Richmond!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Mzee Tupatupa wewe acha tu, inauma sana. Watu hawa walituibia bila huruma, na hatimaye kusababisha akina mama wajawazito kupoteza maisha kwaa ufisadi wao, watoto wetu kukaa chini bila madawati, vijana wetu kukosa mikopo, vi.laza kuajiriwa na kuharibu kabisa mfumo wa utendaji serikalini, rasilimali zetu asili kuibiwa na kuikosesha serikali mapato, wananchi vijijini kukosa maji safi ya kunywa na huduma zingine muhimu, wananchi wetu kukosa nyumba bora,huduma za ugani vijijini kuwa duni na hivyo kudumaza kilimo nk.nk.leo tunawaonea huruma!? Sielewi na sitaielewa serikali ya JPM. Ili kurudisha imani ya wananchi mafisadi wote lazima washuhulikiwe ipasavyo, otherwise Magufuli atakuwa na hard time 2020. The tide is turning fast against him. Tuko huku vijiji tunasikia maongezi ya wananchi wa kawaida kabisa. Sio positive hata kidogo.
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom