Mahakama ya mafisadi kitanzi kwa wanyonge

Kwa mwonekano wa nje hii mahakama inaonekana kama kitanzi kwa mafisadi papa, kinyume chake kitakuwa kilio kwa watu wanyonge wasio na hatia, wasio na majina, wasio na uwezo wa kuhonga majaji.

Litakuwa kaburi kwa watu walioonekana na watakaoonekana kwenda kinyume na wateule, hawa ni pamoja na walio ndani ya CCM.

I bet, mbele ya mahakama hii kutakuwa na uonevu wa hali ya juu kwa wafanyabiashara kutaifishwa mali zao kwa vile tu huyu alinihujumu kwenye uchaguzi au huyu sio mwenzetu.

Uonevu kwa wanasiasa 'wa pande zote', uonevu kwa wanaharakati na watetezi wa haki za binadamu kwa kisingizio cha kutoa maneno ya uchochezi.

Uonevu kwa watumishi wa umma, wakurugenzi wa mashirika kwa kisingizio cha kufisadi miradi kwa dhana ileile ya yule si mwenzetu.

Mahakama hii lazima iangaliwe kwa jicho la tatu.

Mwenyewe kasema atawalinda wastaafu, kwanini basi usijiulize hii mahakama imeundwa kwa ajili ya akina nani?

Na je kama itathibitika mbele ya mahakama hii mtuhumiwa alitenda kosa kwa maelekezo ya mstaafu aliyeapa kulindwa unategemea haki kutendeka?

Wait and see.

Kuna ile habari ya "mtego wa panya kuingia waliomo na wasiokuwano"! Kama sheria hii imetungwa kwa nia ovu ikiwalenga watu fulani, wajue wazi kabisa kwamba sheria ni msumeno na itakapoanza kukata watajikuta wamo wengi zaidi ambao hawakuwalenga na hawakuwatarajia, na wachache sana kati ya waliowalenga! Ni swala la muda tu!
 
hapa sasa serikali imejichanganya! wapo watakaolindwa, wengine hawastahili kulindwa kwa kuwa si....! Tanzania ya vibweka
 
Naona umelalamika bila hata kutoa evidence (Quote) za mswaada. sio kila mtu kaupitia mswada. ni vema ukavitoa vipengele vyenye utata tuvitambue kuliko kuishia kulalamika tu tunashindwa hata pa kuanzia kukusuport
 
Kuna ile habari ya "mtego wa panya kuingia waliomo na wasiokuwano"! Kama sheria hii imetungwa kwa nia ovu ikiwalenga watu fulani, wajue wazi kabisa kwamba sheria ni msumeno na itakapoanza kukata watajikuta wamo wengi zaidi ambao hawakuwalenga na hawakuwatarajia, na wachache sana kati ya waliowalenga! Ni swala la muda tu!
Exactly,

Kama walianzisha mahakama hiyo kwa lengo la fisadi Lowassa tu watakuwa walikosea sana soon itaanza kula kwao.

Maana ufisadi siyo mtu ni chain or series ya watu tena walio na nyadhifa kubwa serikalini.

Huwezi kununua mabehewa feki au kivuko kibovu peke yako au kuingia mikataba mibovu ya Richmond peke yako.
 
Kwa mwonekano wa nje hii mahakama inaonekana kama kitanzi kwa mafisadi papa, kinyume chake kitakuwa kilio kwa watu wanyonge wasio na hatia, wasio na majina, wasio na uwezo wa kuhonga majaji.

Litakuwa kaburi kwa watu walioonekana na watakaoonekana kwenda kinyume na wateule, hawa ni pamoja na walio ndani ya CCM.

I bet, mbele ya mahakama hii kutakuwa na uonevu wa hali ya juu kwa wafanyabiashara kutaifishwa mali zao kwa vile tu huyu alinihujumu kwenye uchaguzi au huyu sio mwenzetu.

Uonevu kwa wanasiasa 'wa pande zote', uonevu kwa wanaharakati na watetezi wa haki za binadamu kwa kisingizio cha kutoa maneno ya uchochezi.

Uonevu kwa watumishi wa umma, wakurugenzi wa mashirika kwa kisingizio cha kufisadi miradi kwa dhana ileile ya yule si mwenzetu.

Mahakama hii lazima iangaliwe kwa jicho la tatu.

Mwenyewe kasema atawalinda wastaafu, kwanini basi usijiulize hii mahakama imeundwa kwa ajili ya akina nani?


Na je kama itathibitika mbele ya mahakama hii mtuhumiwa alitenda kosa kwa maelekezo ya mstaafu aliyeapa kulindwa unategemea haki kutendeka?

Wait and see.
watanzania wapole sana,kila wanacholetewa wanakaa kimya inasikitisha sana ,nampango wakuhamia botswana mpaka utawala wa kidikteta utakapoisha tanzania sina hati miliki ya tz mimi,mimi ni kiumbe naweza kuishi popote penye hewa ya mwenyezi mungu,wahenga walisema ukipenda boga penda na ua lake "nitawalinda wastafuu" hii nkauli ni pana hakuna mstaafu aliyefanya ufisadi peke yake ,alikuwa na kundi la watu wanaomfanyia ufisadi ,ukimlinda mstaafu lazima uwalinde na hawa watu wake mfano mzuri wale walioficha hela pamoja na mstaafu za escrow katika akaunti za stanbinc bank utawakamataje kama kiongozi wao umejiapisha kumlinda hii mahakama itamfunga nani?,itawafunga watumishi wa halmashauri tu na makarani,watanzania walikosea kwenye box la kura
 
Kwa mwonekano wa nje hii mahakama inaonekana kama kitanzi kwa mafisadi papa, kinyume chake kitakuwa kilio kwa watu wanyonge wasio na hatia, wasio na majina, wasio na uwezo wa kuhonga majaji.

Litakuwa kaburi kwa watu walioonekana na watakaoonekana kwenda kinyume na wateule, hawa ni pamoja na walio ndani ya CCM.

I bet, mbele ya mahakama hii kutakuwa na uonevu wa hali ya juu kwa wafanyabiashara kutaifishwa mali zao kwa vile tu huyu alinihujumu kwenye uchaguzi au huyu sio mwenzetu.

Uonevu kwa wanasiasa 'wa pande zote', uonevu kwa wanaharakati na watetezi wa haki za binadamu kwa kisingizio cha kutoa maneno ya uchochezi.

Uonevu kwa watumishi wa umma, wakurugenzi wa mashirika kwa kisingizio cha kufisadi miradi kwa dhana ileile ya yule si mwenzetu.

Mahakama hii lazima iangaliwe kwa jicho la tatu.

Mwenyewe kasema atawalinda wastaafu, kwanini basi usijiulize hii mahakama imeundwa kwa ajili ya akina nani?

Na je kama itathibitika mbele ya mahakama hii mtuhumiwa alitenda kosa kwa maelekezo ya mstaafu aliyeapa kulindwa unategemea haki kutendeka?

Wait and see.
the 1st 10 tutapata picha
 
Kwa mwonekano wa nje hii mahakama inaonekana kama kitanzi kwa mafisadi papa, kinyume chake kitakuwa kilio kwa watu wanyonge wasio na hatia, wasio na majina, wasio na uwezo wa kuhonga majaji.

Litakuwa kaburi kwa watu walioonekana na watakaoonekana kwenda kinyume na wateule, hawa ni pamoja na walio ndani ya CCM.

I bet, mbele ya mahakama hii kutakuwa na uonevu wa hali ya juu kwa wafanyabiashara kutaifishwa mali zao kwa vile tu huyu alinihujumu kwenye uchaguzi au huyu sio mwenzetu.

Uonevu kwa wanasiasa 'wa pande zote', uonevu kwa wanaharakati na watetezi wa haki za binadamu kwa kisingizio cha kutoa maneno ya uchochezi.

Uonevu kwa watumishi wa umma, wakurugenzi wa mashirika kwa kisingizio cha kufisadi miradi kwa dhana ileile ya yule si mwenzetu.

Mahakama hii lazima iangaliwe kwa jicho la tatu.

Mwenyewe kasema atawalinda wastaafu, kwanini basi usijiulize hii mahakama imeundwa kwa ajili ya akina nani?

Na je kama itathibitika mbele ya mahakama hii mtuhumiwa alitenda kosa kwa maelekezo ya mstaafu aliyeapa kulindwa unategemea haki kutendeka?

Wait and see.

mmeaza kuweweseka mapema ivo?
 
Toa maoni ya kuboresha sio kulalamika..kwa mfano ili isiwe mahakama kwa ajili ya wanyonge ungeweza kusema kuwe na kiwango fulani cha ufisadi kilichofanyika ili uhukumiwe kwenye mahakama hii kwa mfano ubadhirifu wa Richmond Escrow Epa n.k

au tuseme ubadhirifu unaozidi kiasi cha sh bilioni moja na kuendelea.


INGAWA KISHERIA SIDHANI KAMA MNYONGE ANAHESABIKA KUWA NI MALAIKA NA HAWEZI KUIBA....Hata yule jamaa alipobanwa na maswali aliishia kusema mnanionea(huu ni unyonge pia)

Inaanzia Mali iloibwa ya Bilioni 1
 
Unaweza kuniambia tangu aanze kutumbua majipu nani kafungwa au kapatikana na hatia?

Kina Kabwe na Kiwanga wataishia kutumbuliwa pengine kwa uonevu au kutolewa kafara na kesho yake wanatetewa na CCM kuwa hawawezi kuwahukumu mara mbili, je kazi ya mahakama nini?
Zote ni hatua za adhabu. Kitwanga anatuhuma gani ya ufisadi iliyomuondoa serikalini? Nijibu ili nikuweke kwenye kundi la waungwana au kanusha kuwa mpaka sasa taarifa zilizopo Mh Kitwanga hajawajibishwa kwa ufisadi.
Tetea uungwana wako kwa kusema kweli. Au jiunge rasmi kwenye maisha ya washenzi wanaishi kwa kusema uongo.
 
Zote ni hatua za adhabu. Kitwanga anatuhuma gani ya ufisadi iliyomuondoa serikalini? Nijibu ili nikuweke kwenye kundi la waungwana au kanusha kuwa mpaka sasa taarifa zilizopo Mh Kitwanga hajawajibishwa kwa ufisadi.
Tetea uungwana wako kwa kusema kweli. Au jiunge rasmi kwenye maisha ya washenzi wanaishi kwa kusema uongo.
Statement yako ya mwisho imeonyesha jinsi ulivyo naku ignore.
 
Leo ndio nimeupata ukweli kelele na malalamiko mengi kumbe sababu ni hii mahakama ya mafisadi. Ndio imepita hivyo tusubiri utendaji wake. Mumuache sheikh Yahaya alisha tangulia mbele ya haki. Msitabiri eti inamtafuta nani.

Rais kasema hata kubali wanao mchelewesha kutimiza ahadi za ilani ya chama chake. Mambo ya mebadilika sana. Sina hakika neno "tupo kwenye mchakato" kama bado liko katika kamusi, sijalisikia kitambo sasa.
 
Mmetafuna sana nchi hii sasa mnataka tuache kama mlivyozoea.

Mahakama itashughulia wezi wa kuanzia sh. bilioni 1. mnyonge gani atapatwa na hili kama si fisadi.

Hebu wambie hao jamaa zako. Mweny bilioni si mnyonge bali mwizi.
Kwa mwonekano wa nje hii mahakama inaonekana kama kitanzi kwa mafisadi papa, kinyume chake kitakuwa kilio kwa watu wanyonge wasio na hatia, wasio na majina, wasio na uwezo wa kuhonga majaji.

Litakuwa kaburi kwa watu walioonekana na watakaoonekana kwenda kinyume na wateule, hawa ni pamoja na walio ndani ya CCM.

I bet, mbele ya mahakama hii kutakuwa na uonevu wa hali ya juu kwa wafanyabiashara kutaifishwa mali zao kwa vile tu huyu alinihujumu kwenye uchaguzi au huyu sio mwenzetu.

Uonevu kwa wanasiasa 'wa pande zote', uonevu kwa wanaharakati na watetezi wa haki za binadamu kwa kisingizio cha kutoa maneno ya uchochezi.

Uonevu kwa watumishi wa umma, wakurugenzi wa mashirika kwa kisingizio cha kufisadi miradi kwa dhana ileile ya yule si mwenzetu.

Mahakama hii lazima iangaliwe kwa jicho la tatu.

Mwenyewe kasema atawalinda wastaafu, kwanini basi usijiulize hii mahakama imeundwa kwa ajili ya akina nani?

Na je kama itathibitika mbele ya mahakama hii mtuhumiwa alitenda kosa kwa maelekezo ya mstaafu aliyeapa kulindwa unategemea haki kutendeka?

Wait and see.
 
Magufuli anageuza Tanzania kuwa uwanja wa vita,kati ya wale wasiokuwa nayo na waliokuwa nazo. Baba Jesca karibu sana.
 
Chadema mmeshikwa koo mwaka huu , mtatetea kila kitu.

Kuanzia ,vilaza, wakwepa kodi, majizi , wazembe kazini ,na mafisadi.


Sasa tumewajua rangi yenu halisi.
 
Mmetafuna sana nchi hii sasa mnataka tuache kama mlivyozoea.

Mahakama itashughulia wezi wa kuanzia sh. bilioni 1. mnyonge gani atapatwa na hili kama si fisadi.

Hebu wambie hao jamaa zako. Mweny bilioni si mnyonge bali mwizi.
Unamaanisha nani katafuna nchi hii 'Kikwete' au?

Unaweza kuwataja waliotafuna nchi hii?
 
Back
Top Bottom