Mahakama ya Kisutu yawafutia kesi ya kumjeruhi RAS wa Dar, Wabunge na Makada wa UKAWA

Kurzweil

JF-Expert Member
May 25, 2011
6,622
8,397
Habari wanaJF,

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewafutia kesi ya kumjeruhi na kumdhalilisha Katibu Tawala wa Dar es Salaam, Bi. Theresia Mmbando iliyokuwa ikiwakabili Wabunge na Makada wa Umoja wa Katiba ya Wananchi(UKAWA) baada ya kuona hawana kesi ya kujibu.
 
Habari wanaJF,

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewafutia kesi ya kumjeruhi na kumdhalilisha RAS wa Dar es Salaam iliyokuwa ikiwakabili Wabunge na Makada wa Umoja wa Katiba ya Wananchi(UKAWA) baada ya kuona hawana kesi ya kujibu.
Hii kesi ilikuwa ya kizushi sana .
 
Moja ya masharti ya kupewa msaada na Umoja wa Ulaya ni kuacha kuba
mbikiza wapinzani kesi za kipumbavu kama hii
 
Habari wanaJF,

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewafutia kesi ya kumjeruhi na kumdhalilisha RAS wa Dar es Salaam iliyokuwa ikiwakabili Wabunge na Makada wa Umoja wa Katiba ya Wananchi(UKAWA) baada ya kuona hawana kesi ya kujibu.
Ok, umefanikiwa kuwa wa kwanza kuipost hii,hebu tupe kwa marefu na mapana sasa hii habari.Ututajie walau waheshimiwa kadhaa kwa majina yao waliokuwa wanatuhumiwa!!
 
Back
Top Bottom