Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Mahakama ya Hakimu mkazi kisutu imetupilia mbali Maombi ya kuondoa shitaka la kutakatisha fedha linalomuhusu Yusufu Ally na mwenzake Samwel Lema ambao wanakabiliwa na mashitaka zaidi ya mia ambayo yaliisababishia serikali hasara ya bilioni 14.
Chanzo: ITV
Chanzo: ITV