Abunwasi
JF-Expert Member
- Jun 25, 2009
- 5,486
- 3,468
Kwa sasa issue on hand ni kuhusu hukumu ya mahakama inayohusiana na viongozi wetu. Let us stick to the subject.Mambo ni mengi?Unazungumzia waliyosema viongozi wa CCM juu ya kuwapiga na kuwauwa wapinzani au unazungumzia kauli za akina Mbowe siku wanaandamana kwenda tume ya uchaguzi?
Kama CCM wamefanya makosa kama hayo na AG hayaoni, basi wananchi wanaweza kufungua kesi inayohusiana na uvunjaji wa sheria. Mbona kina Kiroboto wako tena wengi tu!