Mahakama ya Kisutu imewatia hatiani Viongozi wa CHADEMA na kuwahukumu kulipa faini ya Tsh. Milioni 350 au kwenda jela, Wapelekwa Segerea

Umeongea point mkuu mpaka najihisi kudaiwa, hao wakina mama walioko jela sijawahi kuwawazia yaani

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi mtu ambaye kiinua mgongo chake tu ni million 200+

Bado anakopesheka hadi million 100+

Ana mshahara wa million 10+ per month

Wana posho kwenye kamati za bunge

Wana miradi mikubwa na midogo

Chama kina ruzuku million 200+ kila mwezi

Unawachangia watu hawa , wahitaji wameisha??
 
Hakimu Mkazi wa mahakama ya Kisutu. Thomas Simba ametoa hukumu kwa John Mnyika, Salim Mwalimu ,Easter Matiko na V.Mashinji kila mmoja kulipa faini ya shilingi Milioni 30. Heche , Msigwa,Mdee na Bulaya Milioni 40 huku Freeman Mbowe akitakiwa kulipa shilingi milioni 70.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanafilisiwa ili wakose jinsi ya kuendesha kampeni za uchaguzi. Makosa gani hayo yanayogharimu kiasi chote hiki? Na pesa zinakwenda kwa nani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nini kifanyike sasa on your opinion wananchi wafanye maamuzi magumu???
Msituni ndiyo dawa!
Screenshot_20200303-141241-picsay.jpeg
 
pumbavu mkubwa unayerukia watu kwa mbele
huoni nimemjibu nani niliyemQuote
ukijibu post angalia imetokea wapi? wote kwenye picha wametajwa na muuliza swali
chunga kichwa yako km unalipwa hapa sema

Imeshapenya na Imeisha hiyo!
 
Kuna kikao kirefu cha Bajeti posho zake zinatosha kulipia hizo adhabu na kwa Maimu huyo atakuwa kwenye kazi maalumu ya kuandaa Ilani ya Uchaguzi
 
  • Thanks
Reactions: Lee
ni wazi kuwa tunaangalia jambo hili kimzahamzaha kama darby ya SIMBA/YANGA MAN U/MAN CITY au GOR MAHIA/AFC LEOPARDS lakini kiuhalisia Tanzania siyo kisiwa chaamani ustaarabu wala kupigania uhuru na usawa kama ilvyokuwa miaka ya 60 70 na 80
 
Hii hukumu haina athari kwenye kugombea nafasi zao za ubunge october
 
Mashtaka 12 kati ya 13 waliyofunguliwa Mbowe na wenzake yamethibitshwa na mahakama kuwa ni ya kweli. Shtaka moja tu la kula njama ndilo lililoondolewa.

Kwa maana hiyo Mbowe na wenzake walisababisha mauaji ingawa halikuwa shtaka la msingi hivyo halitajadiliwa na mahakama hiyo!

Hakimu Simba amesema washtakiwa hao wanashtahili adhabu kali kutokana na makosa waliyotenda. Hii ni baada ya Peter Kibatala kuomba walipe faini badala ya kufungwa jela.
Aliyesabisha mauaji ni polisi na mkurugenzi hilo hata Mungu anajua hata wakiletwa wachunguzi wa kimataifa jibu litakuwa hilo.Sema tu hakuna hakimu aliye huru
 
Back
Top Bottom