MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,707
- 71,003
Wananchi wote tunajua polisi ndiyo walimpiga risasi na kumuua yule binti na mwanzoni walikiri na kumuweka ndani polisi muuaji, maamuzi yoyote nje ya ukweli hayatakubalika
Hayatakubalika kivipi? Mioyoni au nini kimeandaliwa kuonyesha hayakubaliki?Wananchi wote tunajua polisi ndiyo walimpiga risasi na kumuua yule binti na mwanzoni walikiri na kumuweka ndani polisi muuaji, maamuzi yoyote nje ya ukweli hayatakubalika
Vyote vyote tuHayatakubalika kivipi? Mioyoni au nini kimeandaliwa kuonyesha hayakubaliki?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mangula anaingiaje hapa?!Maccm yanataka kumuua mangula yatasingizia chadema ndiyo wanataka kumuua
Kesi inahusu maandamano siyo mauaji bwashee!Wananchi wote tunajua polisi ndiyo walimpiga risasi na kumuua yule binti na mwanzoni walikiri na kumuweka ndani polisi muuaji, maamuzi yoyote nje ya ukweli hayatakubalika
Ukatili wa maccm ukiwemo wewe mwenyewe, liuaji likubwa wewe 😅😅😅😅Mangula anaingiaje hapa?!
Hahahaaaaa.........neno USIOGOPE limeandikwa mara 365 katika Biblia!Ukatili wa maccm ukiwemo wewe mwenyewe, liuaji likubwa wewe 😅😅😅😅
Aisee duh Mbatizaji kawa 'Muuaji' tena.....!!Ukatili wa maccm ukiwemo wewe mwenyewe, liuaji likubwa wewe
aliyesababisha ndiye mwenye kosa kubwa bila kuandamana mbowe na genge lake mauaji yangetoka wapi
Wewe nakuogopa Kama liccm 😂😂😂😂Hahahaaaaa.........neno USIOGOPE limeandikwa mara 365 katika Biblia!
Huyo dogo anaweweseka mbunge wake Halima!
Anabatiza kwa Moto tuliambiwa na mzee makamba
Muuaji ni nani mkuu?Kesi za kubambikiza aliyeua yupo salama kabisa,mbele ya macho ya binadamu walobambikiza kesi wanafaraja lakini ktk hali ya kweli na kiimani watapata majuto na nafsi kutokuwa na amani.mbegu ya mabadiliko itaendelea kumea.
Aliyezini na mwanamke umemwacha umemleta mwanamke tu alafu unamuuliza Yesu tumemkuta akizini na sheria ya musa inatuambia tumpige mawe hadi kufa.mwanaume aliyezini yupo wapi?. Walichokifanya hawa hakuna tofauti na nyinyi. Unataja kuuwa na ujamleta muuwaji Mahakamani. Watenda HAKI WOTE SWALI LETU NI MOJA TU ALIYEUWA YUPO WAPI?. Tunataja MUNGU uku tunamlinda muuwaji. Pole aqwilina rip hukumu ya aliyekuuwa ni leo ila aliyekupiga risasi na kukuuwa wanamlinda asiguswe eti ahusiki. Damu yako ilie mbele za Mungu idai haki ya uhai wako katika mikono ya aliyekuuwa.Mungu asimamie haki itendeke!
Wakati huu wa Kwaresma tunajikumbusha mengi kuhusu Wanasheria na yule Yuda aliyesaliti PIA Petro aliyekana!
Wanaoenda kusomewa hukumu ni wahanga waukatili kama Akwilina (R.I.P).
Familia ya marehemu sijui wanajisikiaje kuona aliyemdhulumu uhai binti yao si miongoni mwa watakao hukumiwa! Walioagiza matumizi ya risasi ndio wasimamizi wa hukumu!!!
Huyo dogo anaweweseka mbunge wake Halima!