Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,490
- 46,011
Ni wakati gani ambapo mahakama ya kimataifa ya ICC huwa ina uwezo wa kuingilia taifa lingine na kutoa waranti za watu kukumatwa na kuwafungulia kesi?
Baadhi ya wa Kenya, Congo, Sudan n.k wamewahi kushitakiwa katika mahakama hii
Je, Mahakama hii ina nguvu na mamlaka juu ya mataifa yapi?
Kesi za aina gani huendeshwa na mahakama ya ICC?
Baadhi ya wa Kenya, Congo, Sudan n.k wamewahi kushitakiwa katika mahakama hii
Je, Mahakama hii ina nguvu na mamlaka juu ya mataifa yapi?
Kesi za aina gani huendeshwa na mahakama ya ICC?