Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam kesho itaendelea kusikiliza rufaa ya maombi ya dhamana ya Freeman Mbowe Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)-Taifa na Ester Matiko Mbunge Tarime mjini (CDM). Mbele ya Jaji Sam Rumanyika