Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,196
- 25,516
Haya, pumzika MkuuHata ukijipendekeza kwa Peter haikusaidii Freeman akitoka lazima akushughulikie!
Haya, pumzika MkuuHata ukijipendekeza kwa Peter haikusaidii Freeman akitoka lazima akushughulikie!
"No one above the law"MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam kesho itaendelea kusikiliza rufaa ya maombi ya dhamana ya Freeman Mbowe Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)-Taifa na Ester Matiko Mbunge Tarime mjini (CDM). Mbele ya Jaji Sam Rumanyika
View attachment 1038319
nitamfikishia Wakili Msomi PeterVipi kuhusu kuwasilisha Application for bail pending appeal? Kwako Wakili Msomi mwenzangu Peter Kibatala
Sheria ipi inayoitumia Magufuli kuwaweka ndani kina Mbowe?,akiuke mashariti ya dhamana msalaba abebeshwe Magufuli,"nonsense"MIMI NADHANI MZEE EDDO ATAENDA KUWAOMBEA MSAMAHA KWA MKUU SO VERY SOON WATATOKA LET US WAIT FOR IT.
Ni vile tu mawakili wote wenye akili wako ChademaMAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam kesho itaendelea kusikiliza rufaa ya maombi ya dhamana ya Freeman Mbowe Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)-Taifa na Ester Matiko Mbunge Tarime mjini (CDM). Mbele ya Jaji Sam Rumanyika
View attachment 1038319
Hiyo inajulikana na Lowassa ameshawafanyia wepesi kule nyumbani!Na kwa taarifa yenu tu ni kuwa mh Mbowe na Matiko watatoka tu na kama utachukia ukanywe sumu ufe tu maana huna faida kwa taifa wala kwa ndugu zako
In God we Trust
Nimewatengaje Mkuu?
Samahani mkuu wewe umebobea au kuspecialize kwnye sheria zipi maana kumbe unaweza ukapata mteja humu humu jf kwa kumsimamia kwnye kesi yakeHaya, pumzika Mkuu
WIVU TU NANI ALIKUFUKUZA SHULE?...ELIMU NI KILA KITU....HATUENDELEI KWA SABABU MIJITU MINGINE IMEIBA VYETI NA MINGINE ILIKIMBIA DARASANI.Wabongo kwa kujishaua na kupenda sifa.....Ndo maana hatuendelei..."eti msomi mwenzangu". Usomi hauonekani kwa kujitangaza
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuko pamoja mkuuHalafu ushauri wenyewe ni kuingizana chaka tu, as bail pending appeal huombwa pale mtu tayari anakuwa kapatikana na hatia ya kosa lake na yupo katika mchakato wa kukata rufani, hupeleka maombi ya dhamana mpaka pale rufani itakaposikilizwa.
Situation ya mbowe ni tofauti, kinachobishaniwa ni dhamana yenyewe, kwamba dhamana ilikataliwa baada ya wahusika kuruka masharti ya dhamana, wakakata rufani mahakama kuu kuomba uamuzi wa kuwafutia dhamana kuondolewa, hivyo huwezi peleka maombi mengine tena ya kuomba dhamana ambayo tayari imeshakataliwa na ni subject ya determination ya appeal, itakuwa ni kuprejudice the existing appeal, maombi hayo yatatupiliwa mbali.
Sheria zote MkuuSamahani mkuu wewe umebobea au kuspecialize kwnye sheria zipi maana kumbe unaweza ukapata mteja humu humu jf kwa kumsimamia kwnye kesi yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Is that even necessary?Vipi kuhusu kuwasilisha Application for bail pending appeal? Kwako Wakili Msomi mwenzangu Peter Kibatala
Tafadhali fafanua Mkuu MmawiaMkuu uelekeo naona upo zaidi kwenye asali
In God we Trust
Possibly. Kwakuwa ikisikilizwa rufaa watarejeshwa tena rumande kusubiri uamuzi unless uamuzi utolewe siku hiyohiyo.Is that even necessary?
Hahahaha hawa ndo wanasiasa mtu mmoja anakuwa na kauli zaidi ya moja anajipinga mwnyewe tatzo nililogundua hawa wanasiasa vichwa vyao havitunzi kumbukumbu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukimfuatilia huyo anayejiita msomi post zake humu utashangaa sana inakuaje naye anajiita msomi.Wabongo kwa kujishaua na kupenda sifa.....Ndo maana hatuendelei..."eti msomi mwenzangu". Usomi hauonekani kwa kujitangaza
Sent using Jamii Forums mobile app