Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa mfano mi nimetembea nje ya ndoa nikashikwa na mume wng kaenda kunishitaki huko na yeye ni muumin wa din husika nimekataa kesi yangu kupelekwa huko inakuaje?
Naombeni ufafanuzi juu ya aina hii ya mahakama coz nimepewa maneno kibao yaa kimtaa sasa nataka nisikie jinsi GREAT THINKERS mnaijuaje kiutendaji wa kazi.
mahakama ya kislamu kushughulikia mambo ya ndoa,talaka mirathi na masuala mengine ya kidini.haihusishi makosa ya jinai na si lazima kwa muumini
Sheria ya Kenya, tukiichukulia kama model inayoweza kutumika na hapa kwetu, inasema mahakama hizo zitakuwa na nguvu juu ya waislamu wale tu waliojipeleka wenyewe kwenye mahakama hizo za Kadhi. (Ib. 170(5) Katiba). Ikija kuwa hivyo basi wewe ukikataa kwenda mahakamani itakuwa umeweza kuikwepa.kwa mfano mi nimetembea nje ya ndoa nikashikwa na mume wng kaenda kunishitaki huko na yeye ni muumin wa din husika nimekataa kesi yangu kupelekwa huko inakuaje?
kutokana majibu yote hapo juu hii tena sio the home of great thinkers ni the home of great liers
ni vizuri ukaelezea ujuavyo sana kwa faida ya wengi.bora hao wajuao kidogo wamejaribu kushare kuliko wewe ujuaye ila unawakejelikutokana majibu yote hapo juu hii tena sio the home of great thinkers ni the home of great liers
Sheria ya Kenya, tukiichukulia kama model inayoweza kutumika na hapa kwetu, inasema mahakama hizo zitakuwa na nguvu juu ya waislamu wale tu waliojipeleka wenyewe kwenye mahakama hizo za Kadhi. (Ib. 170(5) Katiba). Ikija kuwa hivyo basi wewe ukikataa kwenda mahakamani itakuwa umeweza kuikwepa.
Mahakama ya hiari. Ambayo kwa kweli itakuwa kituko. Ni washitakiwa wangapi watajipeleka wenyewe mahakamani kama si lazima kwenda? The only conceivable way for this court to work as I see it would be siku ile mnafunga ndoa basi unafanya choice of law decision. Unataka beef zenu ziende kwa hakimu au kwa kadhi au msuluhishi mnaemjua nyinyi wenyewe? Ukichagua, umechagua, ikila kwako usilie na mtu, kama kesi ya TANESCO na DOWANS.
Mahakama hii inahusika pia kuwapiga wazinzi na waasherati mawe kama wanavyofanya Al Shabaab wa Somalia!
Hayo maswali yako Nenda kamuulize sultani kikwete mkikutana huko masjid