n00b
JF-Expert Member
- Apr 10, 2008
- 1,006
- 2,667
PRESIDENT'S OFFICE,
THE STATE HOUSE,
P.O. BOX 9120,
DAR ES SALAAM.
Tanzania.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, usiku wa jana, Jumatatu, Septemba 5, 2011, amekutana na kufanya mazungumzo na Masheikh wa Dini ya Kiislam kuhusu mchakato wa kuundwa kwa Mahakama ya Kadhi nchini.
Katika mkutano huo, pande hizo mbili zimezungumzia kwa undani hali ya majadiliano ya suala zima la kuanzishwa kwa Mahakama hiyo ya Kadhi.
Mheshimiwa Rais na Masheikh wamekubaliana kuwa Kamati ya Pamoja ya Serikali na Masheikh ikutane mapema iwezekanavyo na iongeze kasi ya majadiliano ili shughuli hiyo iweze kumalizika mapema iwezekanavyo.
(Habari hii imeambatana na picha ya Mheshimiwa Rais na Masheikh katika kikao hicho cha jana lkn nipo via mobile siwezi kuiweka).
Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu,
DAR ES SALAAM.
06 Septemba, 2011
THE STATE HOUSE,
P.O. BOX 9120,
DAR ES SALAAM.
Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, usiku wa jana, Jumatatu, Septemba 5, 2011, amekutana na kufanya mazungumzo na Masheikh wa Dini ya Kiislam kuhusu mchakato wa kuundwa kwa Mahakama ya Kadhi nchini.
Katika mkutano huo, pande hizo mbili zimezungumzia kwa undani hali ya majadiliano ya suala zima la kuanzishwa kwa Mahakama hiyo ya Kadhi.
Mheshimiwa Rais na Masheikh wamekubaliana kuwa Kamati ya Pamoja ya Serikali na Masheikh ikutane mapema iwezekanavyo na iongeze kasi ya majadiliano ili shughuli hiyo iweze kumalizika mapema iwezekanavyo.
(Habari hii imeambatana na picha ya Mheshimiwa Rais na Masheikh katika kikao hicho cha jana lkn nipo via mobile siwezi kuiweka).
Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu,
DAR ES SALAAM.
06 Septemba, 2011