Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,797
- 71,216
Kwani kakuambia anaishi kwa umeya?Nenda kampunguzie Stress Isaya kwa kuukosa Umeya!
Nyie nendeni Ikulu mkaandae sherehe ya kumng'oa Meya.
Kinondoni Sitta mlitumia mbinu, ulaghai na mabavu kumweka. Ubungo kama sio undava wa Boniphace napo mlitaka kutumia mbinu. Nyie mbona MNA tamaa ya fisi?
Sent using Jamii Forums mobile app